Kama wewe IQ yako ni ya kichwani, je hizo picha ni za Cctv kweli ? Mtu anaepanga utekaji wa mtu kama Mo anaweza kuja na gari bila kubadilisha Registration number? Wewe utakuwa unatumia IQ za Makalio.
Kwa kifupi Makonda anajua anachokifanya, hata kuyakataa hayo Makontena mara ya kwanza itakuwa ni maelekezo kutoka kwa Baba, na baba kwakuwa alikuwa anataka kuonyesha kuwa habagui, ndio sababu hakutaka kuwanyamazisha wahusika TRA, hivyo wahusika wakahisi na wao watapata baraka kwa kuibua madudu...
Kwa kifupi Makonda anajua anachokifanya, hata kuyakataa hayo Makontena mara ya kwanza itakuwa ni maelekezo kutoka kwa Baba, na baba kwakuwa alikuwa anataka kuonyesha kuwa habagui, ndio sababu hakutaka kuwanyamazisha wahusika TRA, hivyo wahusika wakahisi na wao watapata baraka kwa kuibua madudu...
Naona hujaelewa alicho kiandika J Mushi, ni hivi, kama maelezo ya awali yaliyosainiwa na watuhumiwa yalimtaja na kumuhusisha huyo Chusa, kisha Dpp akamuondoa kwenye kesi kwakuwa maelezo yalikuwa ni yauongo yaliyo muhusisha Chusa ndani ya statment na kwakuwa Chusa alikuwa Magereza wakati wa...
Naona hujaelewa alicho kiandika J Mushi, ni hivi, kama maelezo ya awali yaliyosainiwa na watuhumiwa yalimtaja na kumuhusisha huyo Chusa, kisha Dpp akamuondoa kwenye kesi kwakuwa maelezo yalikuwa ni yauongo yaliyo muhusisha Chusa ndani ya statment na kwakuwa Chusa alikuwa Magereza wakati wa...
Wacha upungafu wewe, mbona huyo Rais wa wawanyonge yeye sio Maskini na sio mnyonge ? Rais wawanyonge anatamani wanyonge waongezeke ili aweze kuendelea kutawala, hiyo ndio maana yake, Rais wa wawanyonge hapendi kuona mtu anajikwamua kwenye unyonge kwakuwa anaogopa atakosa wa kumtawala, unyonge ni...
Nje ya uwezo wetu ? au ni kwakuwa tuna watu vilaza au wenye upeo mdogo kama wako? Hivi kweli kijana alioelimika kidogo tu, atashindwa kuelewa wapi tunakosea na ni nani wa kumlaumu? Kwa elimu ndogo tu ya form 4 kwa aalioanzia Primary school ya kueleweka leo hii ukimuuliza wapi tunakosea...
Kama Utakuwa hujaona cha ajabu, basi kweli wewe utakuwa mbumbu wa mwisho, kwanza nikuulize, je unatambua kuwa Tanzania tuna rasilimali nyingi kuliko Kenya? Je unajua ni miaka mingapi sasa tangu tumepata Uhuru? Halafu unasema eti kila nchi inatambua kuwa Kenya uchumi wake upo juu, we haushangai...
Ukweli utabaki kuwa ukweli, Eti ndege kubwa ilitua Dar kwa dharura, ikawa ni habari mpaka kwenye magazeti, uko sindio kuwahadaa wanyoge, eti Serikali imenunua Bombardier kwa cash, sijui inamsaidiaje huyu mnyonge kama sio kumnyonga, leo hata mshahara kashindwa kupandisha mwaka wa tatu huu...
Duh, kweli Siasa haimtaji mtu jina, Rais wa wanyonge ni yule anaeweza kuongopa yakuwa ameokota kitu kumbe hakiokoteki? Ni yule mwenye kukashifu Bukoba? Oh,Sorry Maafa? Yes, Nimekuelewa vyema mkuu, naona kama tuliombee hili Taifa kwani Janga tunalo wenyewe kwa sasa.
KADA08 Hakuna Mtanzania wa kumdanganya hapa, kwanza nime view post zako za nyuma nimegundua wewe ni Kada wa CCM, hivyo andiko lako lipo kisiasa na si kiuhalisia, nyie watu ni mambumbu sana, huu upuuzi ndio aliokuja nao slow slow.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.