Naona kana kwamba unapitia wakati ulio mgumu.
Hongereni yanga kwa ushindi wa kishindo.
Henu fikiria
Simba chali
Man u chali
Mkeka umechanwa na hizo timu huku wewe ukiwa ni shabiki kindakindaki
Kwanza nimeshindwa kuamini nilipo iona hiyo clip kwa mara ya kwanza Maana mkono wa huyo mama unatereza juu ya nyuzi za gita kama moja ya mikono ya wale viumbe walioumbwa pamoja na lusifa
Sasa nisikuchoshe video ina dakika 2 na sekunde 42. Nina uhakika ukifika sekunde ya 58 utakuwa umeshakubali...
Hapo ulipo ndio panaitwa nchi nzima kwahiyo piga picha kiwanda kilichojengwa awamu hii uweke hapa.
Msaada wadau naomba kuona picha za hivyo viwanda.
Na bidhaa zake na zinako safirishwa
johnthebaptist
Maendeleo hayana uvyama ndani yake.
Ukitizama aina ya nyumna zinazojengwa miaka hii ni tofaiti kabisa na hizo zinazo onekana hapa chini kwenye picha.
Kwa maoni yangu naona ujenzi wa hizi nyumba unavutia na nyumba zinadumu tu sana na zinaleta mandhaari fulani hivi vutivu.
Ila kwa miaka ya karibuni mambo yamekuwa tofauti. Ni...
yaani kwa mfano ukute Labda Lisa jensen anamuendesha Mkuu mpya wa wilaya ya kisarawe
Au wema anamuendesha mbunnge msukuma hivi.
Hii kazi ipo kwa ajili ya wanaume tu? au wenzangu mmesha wahi ona dereva wa kike wa magari hasa haya ya viongozi?
KWANINI UFE MASIKINI?
BEI YA FIGO NI MILIONI 500-900
UZA FIGO MOJA KWA MILIONI 700
CHUKUA MILIONI 500 KABETI MECHI 2 ZA ODDS 2.4 MFANO MPE BAYERN WIN NA BARCA WIN
UTAPATA KAMA BILION 2.1
CHUKUA MILIONI 700 KANUNUE FIGO URUDISHIE
UTABAKIWA NA BILIONI 1.4 JUMLISHA NA ZILE MILIONI200 ZILIZOBAKI...
katika pitia pitia ya magazeti na majarida mbali mbali miaka hiyo nadhani umewahi kutana na cartoon ya watoto wa mzee chogo
walichorwa na vichwa vyenye visogo virefu.
sasa kupitia picha hizi utakutana na watu ambao wana vichwa visivyo vya kawaida ambavyo sijui sasa kama wanavibumba pindi...
Wataalamu wa michezo saluti kwenu.
Kama mtakumbuka hatua ya robo fainali mambo yalikua hivi
Swala lililo sababisha Zidane na timu yake wasonge katika hatua inayo fuata.
Akili yangu inaniambia kesho mambo yatageuka na kuwa ndivyo sivyo na kinyume na matarajio ya eengi ambapo kikombe cha...
Ndugu,
kama mjuavyo mwaka 2015 , 16 kulikua na action movies za maana zilizo jumuisha
john wick,
unlocked
u.n.c.l.e
spy
kingsman secret service
rogue nation na nyingine nyiingi kama hizo ila kwa mwaka huu mpaka sasa bado sijaona.
kama umesha pata muvi ya maana iwe ni ya mkono halafu ikiwa...
najua umekuja mbio ukifhani utakutana na chupa za manukato ya gharama
mafuta na losheni mbalimbali. Ukweli ni kuwa losheni, manukato na mafuta yanayo mng'arisha mwanaume ni pesa... pambana upate pesa
hata mimi napambana nipate pesa kama za huyo jamaa ambazo ni petty cash huku account ikiwa...
nimezipata wakati nipo nachunga ng'ombe kwenye pori fulani(sitalitaja kwa sasa)
zilikuwa kwenye korongo moja ambalo nimeliona baada ya mbuzi msumbufu kutumbukia huko.....
naambatanisha picha hapa
heey! najua umekuja kasi ukitaka kuporomosha data na takwimu kuhusu mchezo wa Chelsea na Timu inayo ongozwa na mchezaji bora wa dunia L.M
wakati meingine hisia huweza kuwa sahihi zaidi ya hizo data na takwimu. nina hisia kwamba kesho mchezo huo utaisha kwa sare na hivyo kulazimika kuongeza...
Pole za dhati ziwafikie waliofikwa na msiba wa mwanasiasa mashuhuri hapa Tanzania Mzee Kingunge.
Moja kwa moja kwenye mada-kumekuwa na tabia ya kumcharua na kumzodoa na kumpiga vijembe mkuu wa nchi eti huwa hashiriki kwenye misiba.
"Alifanya sehemu yake kwenda kumjulia hali marehemu kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.