Kwa miaka mitatu ambayo nimekuwa humu jamvini hakika nimegundua Kuna baadhi ya watu wanna IQ kubwa Sana ila Kuna wengine dooh! Lazima uwatafakari Mara mbili mbili ila yote kwa yote Ni kuwezesha eneo hili kukamilika kila idara.
Sasa nakupa comments tatu nilizozisoma kwenye baadhi ya Nyuzi na Mimi...
Hujui theory ya Demand and Supply? Hiyo Ni kawaida kitu kikionekana Ni kichache halafu huitaji ukawa mkubwa lazima Bei yake itapanda tuu.
Mimi mwenyewe nilisoma hapo ila nilipoona vyumba vya jirani na chuo havikamatiki nilienda kuishi Sweya karibu kabisa na ziwani ila vipindi nilikuwa nawahi...
Salaam zenu chief
Nilishajijengea kila nikitaka kulala usiku lazima nipige angalau ishara ya msalaba ikifatiwa na Sala fupi ya Baba yetu uliye mbinguni........ Nikimaliza na maombi mafupi Basi napanda kitandani nalala. Kesho yake nikiamuka asubuhi Basi jirani wa nyumba Cha karibu nami...
Salaam wakuu
Baada ya siku chache Kuandika Uzi huu https://https-www-jamiiforums-com.0.freebasics.com/threads/watu-10-wanaoongoza-kwa-umaarufu-tanzania.1629692/?iorg_service_id_internal=925946837445621%3BAfrTdATCJoLrpw-7
Baada ya impact yake kuwa kubwa nikaona hii inaweza kuwa fursa na vijana...
Salaam wakuu
Baada ya siku chache Kuandika Uzi huu https://https-www-jamiiforums-com.0.freebasics.com/threads/watu-10-wanaoongoza-kwa-umaarufu-tanzania.1629692/?iorg_service_id_internal=925946837445621%3BAfrTdATCJoLrpw-7
Baada ya impact yake kuwa kubwa nikaona hii inaweza kuwa fursa na vijana...
Wee jamaa Bado una safari ndefu Sana kufikia mafanikio kwa sababu haiwezekani unaandika maandishi mengi unashindwa kutueleza kuhusu mfumo husika. Yaani unaweza ukadhani unatia watu moyo kumbe unachosha watu tu na hadithi zako. Straight forward to the point
-1: mfumo unafanyeje kazi
- 2: Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.