Pole sana... Hua nikiwaona wazee wanasema Wana experience na mapenzi nakaa tuu pembeni nawaangalia.. ila vijana sahivi tunakutana na mambo ambayo hata wao sidhani kama wanaweza kuyavumilia.. ila na ww ukizingua.. una laki ya haraka haraka hivyo na unasita kuoa..
wapeleke pale wachaga walipokanyaga mafuta ya kupata hela... zungusha peleka mpka matejo waonyeshe miti ya miraa inavyokua watoto wa chuga... wapeleke mererani wasimulie kesi ya bilionea msuya... wapeleke meserani wakaone nyoka... warudishe rau mtoni, huo mto una maji machache lkn haukauki...
mimi ni mzaliwa wa Arusha ila baada ya kuhitimu chuo nimehamia Mwanza, Mwanza na Arusha vinatofautiana kwa level ya mtu kiutafutaji, simshauri sana mtu anaeanza maisha aanze arusha, ila namshauri mtu mwenye fedha za mtaji wa kutosha asije mwanza hapajachangamka sana kwa biashara kubwa, huwezi...
Hello bila shaka mu wazima, poleni kwa wale wenye changamoto za hapa na pale, Mola awape ujasiri wa kukabiliana nao na kuushinda!
Niende moja kwa moja kwenye mada, nina mchumba wangu, nimemtambulisha mpaka nyumbani na kwa ndugu zangu, sijawahi kufanya hivi kwa mwanamke yeyote, hiki ni kiashiria...
Hello habarini wanajamv, poleni na majukumu ya kila siku.
Miaka ya nyuma niliomba ushauri humu humu jukwaani kuhusu wadogo zangu wawili wa kike, ili kulipa fadhila ya msaada niliopewa kielimu mimi binafsi.
Matokeo wiki hii yametoka:
1. Alisoma ECA amepata div 1 ya points 8
2. Alisoma PCM...
inawezekana alikua na mtu aliempenda sana lakini kwa bahati mbaya hakumwoa... mapenz hayo yanatengenezwa jitahidi kujiweka karibu, wakati mwingine toka nae out.. jaribu kumweleza usitumie force sana vijana na huu utandawazi wanaona vingi..
"Mwanangu Kindikinyer siku ukiwaza kuoa hakikisha umeushirikisha vizuri ubongo wako, na uwe umefunga vyotee na kujua kweli sasa nina mke, usaliti unaumiza sana ndani ya ndoa" baba yangu alipata kisema haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.