Naomba msaada wako, nina tatizo kwenye account yangu ya Facebook.
Kuna mtu inaonesha kabadili Password Email pamoja na namba za Simu, naomba msaada wa kuirudisha.
Natanguliza Shukrani.
Habari wanandugu Natumaini ni wazima
Naomba Nsaada wa Kusaidiwa namna gani naweza kupata huduma ya kufungua internet cafe na shida yangu kubwa ni upatikanaji wa data plan mzur yani mtandao upi unafaa pia talatibu za kuunganishwa zipoje..
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano Alibaba na Kikuu ila je tunapataje vitu
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo...
Kama Uzi unavyo jieleza tupo hapa kupolea maoni maono pamoja na Ushuhuda kutoka kwa watu mbalimbali kwa pamoja
kuusiana na kuagiza au kununua bidhaa kupitia Kikuu.
Naomba kwa pamoja tuanze mjadala wetu hivyo.
Karibuni Sana
Kama nilivy anza hapo, naomba tupeane muongozo au tujuzane kuhusu Radio Transmitter kwa undani haswa namna ya kuipata na gharama zake na ukubwa karibu kwa maoni na mchango wako.
Kama hapo kichwa kinavyosema, nilikuwa naomba tujuzane ni kampuni ipi nzuri kwa bloggers ili kuweza kupata faida kutokana na blog yake. Najua wapo waliofaidika na wanaofaidika hivi sasa na walioingia hivi karibuni kwenye hayo mambo. Itakuwa vyema endapo tukipeana maelezo na ni vipi twaweza...
Kama kichwa hapo kinavyo sema naomba tuasaidiane juu ya ps3 games
mimi ninatatizo ps3 game yangu aioneshi magame yaliyo kuwa kwenye external disk ila nikiweka kwenye ps3 nyingine inaonesha ila kwangu aioneshi magemu zaidi ya nyimbo pamoja na picha tuu ila magame ayaonikani yani inakua kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.