Mimi ni mwalimu wa 'Physics' na 'Chemistry' (kwa sekondari), ninaweza pia kufundisha hisabati na sayansi kwa shule za msingi maana nimeshafundisha kwa miaka miwili), ninafanya kazi na kuishi Dar es salaam.
Ninatafuta shule ya sekondari, shule ya msingi au 'Tuition centre' ambayo ina 'program'...
Natafuta shule ya kufundisha physics, Nina shahada ya sayansi katika fizikia (bsc in physics)
Nipo jijini Arusha naomba kama kuna mtu anafahamu shule yenye uhitaji, basi anitaarifu PM.
Ndugu, habarini ?
Naombeni mwenye namba za simu za Mfanyakazi mmojawapo wa Tanzania medical radiation and imaging council, ainisaidie ili niwasiliane nao.Muwe na mda mwema.
Habarini ndugu ?
Nilihitimu bsc in physics, niliona tangazo la kazi Muhas walihitaji medical physicist mwaka Jana 2017. Walihitaji medical physicist, aliye na digri ya physics, radiology au medical physicist (ila wenye leseni ya Medical radiation and imaging council of Tanzania).Ninaomba...
Habarini ndugu ?
Nilihitimu bsc in physics, niliona tangazo la kazi Muhas walihitaji medical physicist mwaka Jana 2017. Walihitaji medical physicist, aliye na digri ya physics, radiology au medical physicist (ila wenye leseni ya Medical radiation and imaging council of Tanzania).Ninaomba...
Habarini ndugu ?
Kama kichwa cha uzi kilivyo hapo juu, ninaomba anayefahamu jinsi ya kupata karatasi halisi (original) zote za masomo yote, za mitihani iliyopita ya mitihani ya kitaifa Tanzania (NECTA) Kuanzia shule ya msingi mpaka kidato cha sita; kuanzia 1988 mpaka 2017, naomba anielekeze...
Wakuu Nahitaji meza ya kawaida ya mbao yenye urefu futi sita, upana futi 2.5 .... 3.5, kimo km futi 3 (ile ambayo mtu akikalia kiti cha kiofisi basi anaweza kuandika au kufanya mambo mengine vzr bila shida).Ninahitaji na benchi mbili zenye urefu Wa futi 6.Nina elfu thelathini tuu, nipo Arusha...
Habarini Ndg ?
Mimi ni kijana mtanzania, umri miaka 26.Ninahitaji kuwa mwanajeshi JWTZ lakini km mnavyojua, hiki kitu kimekuwa kigumu sana kwa miaka hii kwani kuna uwezekano Wa mtu kwenda JKT ili badae awe mjeshi JWTZ lakini asiweze kufanikiwa kuwa hivyo wala kwa namna nyingineyo pia, akarudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.