Les grandes équipes! The champions ! Huu wimbo unaamsha morali kubwa sana ya kucheza mpira wa miguu. Ikipigwa watu wengine mpaka wanalia kwa hisia kali na wakitoka hapo wana vaibu la kukata na shoka. Ninaukubali sana watu wanaimba kwa sauti ya juu sana kwa hisia kali huu wimbo ni mzuri sana ...
Uzuri mboga saba na watoto midebwedo au watoto wa vigogo ni wachache jeshini, wazalendo halisi wapo vizuri , kwa hiyo haina shida.
Ila kuleta ubishoo jeshini hususa ni kwenye kozi za kuandaa askari na kupangia hawa kambi ile na wale kambi flani kwa sababu za hadhi ya wazazi wa watoto ni...
Kwa mimi, kazi nzuri sana hapa duniani kuzidi zote ni jeshi. Jeshi ni kama 'mitochondria' ya seli hai ya kiumbe hai. Jeshi linaweza kuendesha mambo yake kivyake bula kutegemea msaada mwingine, yani ni kama nchi flani hivi [emoji1][emoji1][emoji1] Kuna kila aina ya kitu kilichopo duniani na...
Kuna wengine wamesoma mpaka elimu ya juu zaidi (shahada, uzamili na uzamivu) ili wakaitumikie nchi jeshini kwa taaluma zao. Sasa kama humpi nafasi kisa elimu yake si mapuuza hayo aroooh ?
Jeshi linahitaji watu wote, wasomi wa ngazi za juu wakafanye kazi zinazowahusu jeshini, na waliosoma elimu...
Ninavyopenda kujila kwa kijeshi ningejila mpaka nikaisha sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningepiga kozi mpaka kiunzi cha mwili kikawa kinaonekana kwa kukonda na mazoezi, Mamaeeh
Kuna bogi lipo MMJ litapiga kozi au nafasi zitatolewa na MMJ badae au ikoje ? Ile ronja ya nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi kwa madereva na mafundi mwezi 'May' au 'June' mwaka huu 2023 bado ipo au haina uhakika ? Nieleweshe kaka (kama unafahamu) asante.
Fani ya Udereva haihitajiki kwa sasa na jeshi la Magereza ndugu. Kwenye tangazo lao la kazi haimo na sidhani fani ambayo haijatajwa mle kwenye barua, kama itapewa kipaumbele chochote.
Nimegoogle maana ya hili jina lako sijaipata. Naomba uniambie ndugu, niko kwenye "oparesheni saka maana ya majina ya kiingereza" nisaidie [emoji120].
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.