Tumewaumbua sana Leo n huyu mahona kanitafta inbox anasema atatumia majina mengine na namba zingine so kuweni makini na hawa wapumbavu wasio jua kutafta pesa
Tapeli mwingine ni jamaa anajiita mwawalo anashirikiana na huyo mahona wametengeneza emails nyingi kwa ajili ya kutapeli watu mtandaoni kuweni nao makini
Huyo mtu ni hatari sana e.mail yake ni mhanilaibrahim ni tapeli la kupindukia na linasema litatumia majina tofauti tofauti so msije kusema hatukuwaambia[emoji120]
Natanguliza shukrani za dhati kwa wanajukwaa Mimi ni mhitimu wa clinical medicine mwaka 2021
Naomba nafasi ya kujitolea kwenye dispensary au kituo Cha afya popote inchini kikubwa tu nipate Malazi na chakula🙏
Nipo shinyanga
Mawasiliano 0746532392
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.