MUME: Mke wangu nakupenda sana ila naomba kujua
umewahi kuvunja uaminifu mara ngapi?
MKE: Siku ya kwanza nililala na mwenye nyumba sababu
alikuwa anatudai kodi.
MUME: Safii.
MKE: Siku ya pili ulipo fanyiwa oparesheni na pesa hakuna
nikalala na dokta.
MUME...
baada ya binti kujifungua mazungumzo na mama mkwe wake yakawa hivii,
Mama mkwe: Binti samahani lakini kusema ukweli mtt hafanani kabisaa na kijana wangu,
Binti: Mama bila samahani, huku chini nina njia ya uzazi na sio machine ya photocopy.
amini usiamini chaja na simu ni mtu na mpenzi wake, na walitaka wasikutane (kimwili)
mpaka wafunge ndoa, ila wewe na wenzako mlivyokuwa mna tabia mbaya mnachukuwa
chaja mnaichomeka kwenye simu kisha mnaulizana 'inaingia eeeh' tabia mbaya acheni huo mchezo sio vizuri.
siku moja mr & mrs walikuwa wamekaa sebuleni,
mr akataka kumsuprise mrs wake, akaenda chumbani
akaweka line mpya kwenye simu halafu akampigia mrs
wake aliye muacha sebuleni,.....
HELLOW DARLING, bila kujua kuwa ni mr wake wife akajibu,
KATA UPIGE BAADAE MAANA HILI LINGURUWE LIPO NDANI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.