Search results

  1. Masibayi

    Yataka moyo kuwa mchezaji wa mpira wa miguu Tanzania

    Hebu piga picha, lengo la yanga ni kutafuta watu,lengo la simba ni kuonesha kikosi kipana. Ndugu zangu wanaobeti sasa! Unakuta anaitabiria yanga kufunga magoli saba huku haina kikosi kipana? Duh! Wao wanataka watu na siyo magoli,hhhhhh! Hongereni watani zangu yanga kaa ushindi wa jumapili.
  2. Masibayi

    Naomba kujua benki inaruhusiwa kukopesha kiasi gani cha pesa kisheria ukilinganisha na mtaji wake?

    Naomba kujua benki inaruhusiwa kukopesha kiasi gani cha pesa ukilinganisha na mtaji wake? Pia benki kuu inaweza kuongeza idadi ya noti katika mzunguko kama ikiamua? Asanteni wanasheria!
  3. Masibayi

    SoC01 Uwekezaji kwa ajili ya Mtiririko wa Pesa (Cashflow investment)

    Nukuu kutoka kwa Bibi; Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa unajikita katika kukupa kipato mara kwa mara. Hii ni tofauti na ule uwekezaji wa kuongeza mtaji ambapo bidhaa ikishaenda hupati hela mpaka ununue bidhaa nyingine tena. Funzo kutoka kwenye ranchi: Ukienda kuangalia ranchi za...
  4. Masibayi

    SoC01 Matajiri hawaweki akiba ya fedha

    Rejea katika historia Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine. Ingawa...
Back
Top Bottom