Duuuh kweli hii ni JF na hawa ndio wachangiaji wake muhimu...Hakuna sheria inayoongelea juu ya zawadi na taratibu zake kwa kiongozi wa uma?? Au ni kuangalia kwamba watu flani watalalamika au kushangilia?
Kwa Taifa lililo na vyombo makini na vyenye weledi vya usalama haya si mambo ya kukalia kimya hata yakifanywa na nani??
Sasa naona wanausalama wetu wamekaa kimya kwa sababu yanafanywa kwa baraka za serikali...
Yangu Macho lkn hata nchi zenye ugaidi hazikupenda kuchukua mkondo huo bali hali...
Mimi huyu nilimdharau sana aliposhika msimamo wa wabunge "wapendwa" walioamriwa kususia arusi ya Prof Jay...Ili mkuu asimuone kama anashirikiana na wapinzani.
Mkuu acha kupotosha watu kwa sababu unazozijua wewe... Huyo anaitwa Alphonce Buhato...ni kijana wa mzee Buhato wa pale Nansio Ukerewe...Masaki na Ubungo msewe...
Mkuu hao wazungu ni ma mbwiga wanafahamu fika kabisa ktk Africa, the second busiest area Ipo Tanzania nayo ni Kariakoo tena Hata journals zao huwa zinataja Congo na Msimbazi...
Mkuu muulize huyu Pimbi Mwanakijiji kwamba kwani Davido alivyopanda jukwaani na kutumbuiza licha ya zuio la Mahakama kuna mtu yeyote aliyejiuzulu ktk idara za Mahakama????
Chief sidhani kama ni mtu wa moto....ila ni tapeli. ..mtu wa michanga ya macho kama ustaadh Juma......yule aliyekuwa karateka mzuri wa enzi hizo ni kaka yake....Juma Banatozi aliuawawa kwa tuhuma za ujambazi Morogoro lakini sina uhakika kama alikuwa jambazi, kwani kwa nchi hii lolote laweza...
Yaaah tupo pamoja Mkuu .... Na hiyo ndio njia maarufu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa ....!!! Nilifikiri mnazungumzia hii ya kupita mbezi chini halafu unakata kwa Mwamunyange bila ya kupitia Africana...!!!!!!!!!!
Ni kweli Mkuu mbezi beach ya juu ni uswahilini mbaya Hata mivumoni Ina happen kuliko...Maneno ya mbezi ni chini..!!! Unajua huku juu kunaharibiwa sana na Policy za mamlaka... Kila mtu kwa sababu plot yake Ina face main road anataka aweke frame za Biashara...!!! Nachukia sana nikipita mitaa ya...
Kweli Mkuu ...!!! Siku hizi hatuishii tena Belinda...Zero.. Na Giraffe ni mpaka Patamu..Budget..Kibo..Hisaje..Oceanic...!!! Hao wazee walikuwa vichwa sana..na waku party Sijawahi kaa tena Decca na Triz....,,!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.