Habari zenu wakuu, poleni kwa majukumu ya kila uchao. Kama mnavyofahamu ajira ni ngumu kipindi hiki, sasa basi katika kuhangaika nimepata katwisheni ka kufundisha kidato cha tano na sita, chemistry na physics, changamoto inayonikabili ikawa notes, sina kabisa notes wala materials ya A-level...
Ungeongea hivi bila kukashifu upande fulani ningekuelewa, kwani mfumo unaomuandaa Mwalimu kilaza toka Chuo chochote Tanzania uko chini ya serikali yetu tukufu, hivyo kuwa makini na kauli zako kwani sentensi moja inaweza kuibua hisia za chuki kwa watu flani, watoto wetu wanasomeshwa na hawahawa...
Mtoa mada hujielewi wallah, kwa vile wewe umeshasomesha unataka watoto wa wenzio wafeli, na inavyoonekana kwa kuwa baadhi yao nao ni bongolala kama wewe wanashindwa kushughulisha mind zao kwamba anaewashawishi ameshasomesha watoto wake, yeye hana tena jukumu hilo, ni watoto wao watakaofeli, nao...
Kwanza ulianza kwa kuwakashifu waalimu kuwa ni vilaza na sshivi unatukana kabisa, hii inaonyesha ni jinsi gani huna busara na maarifa kabisa, hata kusoma kwako kunakufaa mwenyewe, waalimu waliokufundisha since lower level up to where you are all vilaza compared to current teachers, that's why...
Yaan kwa hoja zako dhaifu, inashangaza kusema una elimu hiyo uliyonayo, serikali ndo inapaswa imuelimishe mzazi kilaza kama wewe umuhimu wa kuwa na mwalimu wa physics, na kwa jinsi unavyoonekana mkaidi ktk masuala ya msingi, hata ukielimishwa utareject tuu, polisi itakuhusu kama ni kweli
Wewe nahisi utakuwa hujaelimika pia, kuwa na master siyo kigezo cha kuwa na uelewa wa kuchanganua mambo mkuu. Nina wasiwasi na level yako ya elimu, watu kama nyie ndo mnaturudisha nyuma kimaendeleo siyo siri. Kwa uelewa wako wewe unadhani hao wazazi kwa hiari watashiriki kuchangia kweli? Hebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.