Kwanza nikupe pole na majukumu rais wetu.
Baada ya pole nije kwenye point, Kumekuwq na mjadala mkubwa sana kuhusu mkataba wa bandari, kiukweli Watanzania walio wengi hawaelewi kuhusu huo mkataba zaidi ya kusikia tu wanasiasa wakiksema hili na lile.
Nikiri hata mimi binafsi sijui kwa kina...
Waziri wa wizara ya mambo ya ndani Mheshimiwa Masauni ametembelea kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro International Leather Industries Co. Ltd ( KLICL) kilichopo mjini moshi na kuagiza majeshi yote yaliyo chini ya wizara kununua viatu kutoka kiwanda hicho kwa kuwa vina ubora wa hali ya...
Nimesoma hii mada nimecheka sana! Nimehesabu kimoyo moyo idara yetu ina watu 8 ila wa 5 ni wachaga, nikaifikiria idara nyingine wapo 4 ila wa 3 ni wachaga, Ajabu ni kuwa mkurugenzi si mchaga, na interview ina fanywa na bodi nzima hakuna hata punje ya connection, kungekuwa na connection mi...
Kilimanjaro Ikternational Leather Industries Co. Ltd, Kiwanda cha viatu bora kabisa vya ngozi kwa Africa, chenye kutumia tekkologia kutoka italy, kilijengwa na serikali 2017
Muongozo ulioutoa ni kwa mteja ambaye tayari ameshapatiwa huduma, ila kama kuna shida, hitilafu au kero yoyote inayomuhusu yeye kama yeye ndo atafuata huo muongozo kutoa taarifa.
Tofauti ya huyu ni kuwa yeye si mteja bado ila anahitaji kuwa mteja wenu lakini kuna vizingiti vinavyomzuia yeye na...
Nashkuru kwa ushauri wako kaka, Ila kuhusu maswala ya vyeo Mimi si muumini wa hayo, Mimi huwa Naamini katika kufanya kazi kwa ufanisi na ubunifu na si kwa kuwa na vyeo...Pili kuhusu kupunguza baadhi ya vitu hapo nimekuelewa ingawa hapo ndo nimejaribu kupunguza na kumention vile muhimu tu ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.