Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa maaskari wenzio kukufungua macho yako....uamke kutoka msukuleni. Hapa tunakufunulia mambo yaonekanayo...
Kuna jamii za waafrika weusi (especially wamisri wa kale) ambazo huko zamani sana walikua wanamchukia na wanabishana sana na Mungu wa Israel (na watakatifu wake) na walikua na akili sana, mafanikio sana, utajiri mwingi sana na kiburi sana. Pia walikua wanapenda sana sensual sins.
Ina sadikika...
Wote wawili waliuliwa, Malcom X na Martin Luther King, je wakati umefika weusi waangalie upya tactical approach towards total liberation? Je tuende ng'ambo ya fikra dini kupata uwanja madhubuti wakutatua matatizo yetu kidunia?
NOTE: Ndugu mchangiaji mada. Kama ni mara yako ya kwanza kuja katika uzi huu, jaribu fuatilia ulikoanzia. Aidha, usisahau kwanza kuisoma mada na kuielewa awali ya yote ndiposa kubofya like kwenye mada. Asante na karibu sana ndugu.
-----
Utajiri zaidi unaondoka Bara la Afrika kila mwaka kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.