Nitamshauri Ester asimame Bunda hata kama baba yake aliyemkana anamwandaa mwanae wa kuzaa kugombea. Nimepata logic, kumbe aliwakana maana aliona mwanae wa kuzaa ambaye kuna tetesi anataka kugombea Bunda atapingwa chini
Baada ya kamanda Makongoro Wasira kujiunga na M4C siku chache zilizopita, leo tena watoto wengine wa Wasira wamejiunga na M4C na kukitupia virago Chama cha Baba yao CCM. Waliojiunga leo katika Makao makuu ya Chadema na kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa ni kamanda Ester Wasira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.