Inaonekana kuna makubaliano yalifanyika na kati ya mjinga flani na mh raisi ....sasa ushirika wao ndio taabu kwa Mh Raisi kutumbua jipu hilo......akichelewa zaidi atajikuta ...ni sawa ya yule mtu alie kula maharage akavimbewe sasa anatia kidole chake kwenye mkundu na kunusa kama kinanuka
Unajaribu ku crack code za kipepeo mweusi tafadhari ukumbuke kutumia binary 0 and 1......photographer makini sana...huyo kama lemutuz tu mr misifa michuzi
Ki ukweli ujasusi wa uchumi wamekwama sana....tatizo wanafanya kazi kwa mazoea(mambo ya kizamani) pia badala ya kufanya kazi kwa maslahi ya Taifa wanafanya kwa ajili ya chama cha mapinduzi kwa kumsikiliza boss wao ambaye ndio mwenyekiti wa chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.