Yes naunga mkono Hoja, Sisi Yanga tusijiamini Sana kiasi kwamba tukaona tumeshinda hii mechi ya tarehe 20.04.2024.
Yatupasa kuwa na tahadhari kubwa Sana tukishindwa kuwafunga makolo basi hata sare Inatosha kwetu .
Kiukweli hii game ijayo Nina wasi wasi moyoni kwangu ,ila all in all kila la...
Nimesoma mpaka mwisho, safari hii Muhasibu umeandika kwa angalizo kubwa sana.
Hakuna hata sentensi moja humu umeitaja YANGA, ulichofanya ni kuisifia Mamelod ,lakini ukiunganisha doti NI kama unasema YANGA hawezi kufunga Mamelod Kutokana na ubora wa Mamelod na uwekezaji wake.
Time will tell...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.