Mimi mwanamke ambae hawezi hata ku handle minor issues za Home kama Vitu kama Luku, Sijui kuwatoa watoto vacation huyu hanifai kabisa, Natambua jukumu la ku raise familia ni letu sote wanafamilia ila mimi Baba nikiwa ni Key player kwenye major issues biashara ya kuambiwa Chumvi hakuna sijui...
Wajuba dah kweli tuko tofauti sana sijawahi kuwa na Hofu kabisa na Maji kwa ujumla japo sio mzoefu wa kusafiri Majini ila sioni hatari kufanya ivo na wala sina shaka yoyote niwapo chomboni kwangu usafiri wa Maji naona ni safest zaidi
Kaka siku ukipatwa na la kupatwa haswa ugenini na watu wakupite tu as if hawakujui ndio utajua kuwa msaada unatolewa kwa unaemjua tu au lah, Iko ivi kama mtu ame show proof zote kuwa yeye sio stranger shida iko wapi kumhost tu? Natamani kujua hata unaishi vipi na majirani zako
Mi niko na stanbic wako vyema sana simply hizi international banks wako poa sana kuhusu online transaction, Wote hata absa wako good mfano stanbic huhitaji kujaza fomu kuiruhusu kadi ifanye purchases online
Marekani ina Ma Rais watano wastaafu ambao wako Hai Jimmy carter, Bush Senior, Bill Clinton, Bush Jr na Baraka obama, Bush Sr ndio kamzika Mkewe juzi tu yupo 90+ na Jimmy pia yupo 90+
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.