Maandamano ni moja wapo kati ya haki za msingi za raia, kuyakataza bila sababu ya msingi, au kwa sababu yameandiliwa na vyama shindani si sahihi. Ndio maana sasa raia wanataka serikali itakayowajibika kwa wananchi na si wananchi kwa serikali
Kwani sheria inasemaje??
Watu wameshajifunza na wanakumbukumbu ya mambo mliyoyafanya Mwaka 2010 kwenye majimbo mliyoshindwa!! Rejea yaliyotokea Ubungo, Arusha Mjini, Mbeya, Ilemela, Nyamagana n.k.
Mwaka huu wananchi wameamka na vyama vimejipanga. Hata ule mpango wa Chadema FTP200 kwa kila kata...
Magufuli alisema tumhukumu kwa maendeleo aliyoyapeleka Chato, ili tuone kama hafai kumpa nchi. Sasa huu ni mrejesho mfupi wa yale tuliyoyaona huko; kwa kweli Magufuli amejitahidi sana kuweka taa za barabarani japo hakuna magari yanayohitaji kuongozwa na mataa hayo.
Mitaa mingi ya mjini imeweka...
Magufuli alisema tumuhukumu kwa maendeleo aliyoyapeleka Chato, il tuone kama hafai kumpa nchi
Sasa huu mrejesho mfupi wa tuliyoyaona huko, kwa kweli Magufuli amejitahidi sana kuweka taa za barabarani japo hakuna magari yanayohitaji kuongozwa na mataa hayo.
Mitaa mingi ya mjini imeweka lami, na...
Sasa kama mtu amekuwa mbunge kwa miaka ishirini na ameshindwa kutoa maji yaliyopo umbali wa mita kama 100 kutoka mjini, lakini leo anatuahidi kupeleka maji vijijini, (Tanzania nzima kwa miaka mitano). TUTAMWAMINI vipi???? Ndio hivyo tena HATUNA NAMNA NYINGINE
Ninaheshimu mawazo yako mkuu, lakini ni vyema ukamuone mwalimu wako ili kujiongezea ufahamu wa namna Serikali inavyofanya kazi, hususani kwenye majukumu, wajibu na mamlaka ya Waziri Mkuu.
Hata hivyo Sumaye hajasema ameleta mabadiliko. Yeye amekuja kuongeza nguvu
Unadhani ni rahisi kufanya hayo mabadiliko wakiwa ndani ya mfumo uliopo. Amekwambia yeye alitaka kufuta nafasi za wakuu wa wilaya kwani hawana maana lakini system ilimzuia
Ule wakati tuliokuwa tunausubiri ndio huu umewadia. Tusijerudia makosa ya kuwakabidhi fisi watulindie banda letu la mbuzi tena. Hatutakuwa na wa kumlaumu tukikuta mbuzi wameisha #PigaKuraAuPigika
Sasa CCM imedhihirisha namna wasivyo na mastrategist tena!! Mtaitisha press conference ngapi? Mngesubiri kidogo mafuriko yatulie ndio muitishe press, sio sasa.
Juzi tu walivyokuja Mwanza kwenye mapokezi ya Lembeli na Bulaya, mlisema kwa nini wako pamoja? Jana wanaendelea na majukumu yao mengine mnasema kwa nini hawapo pamoja!!! Kweli ubinadamu kazi
Ninafaraja sana moyoni kuiona siku hii. Washindwe au washinde ninaimani aina ya siasa za nchi yetu zitabadilika kabisa. Lakini niseme tu kwamba faraja yangu haijakamilika kabisa kwa sababu ya Ukosefu wa Zitto Kabwe kwenye huu ushirikiano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.