Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.
Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.
Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k.
Watu wengi wapo...
Vijana kabla ya kukata tamaa na kutamani kujiua hebu elewa maana ya maisha kwanza.
Hapa duniani tunatumia past kuishi katika present, unabidi kukaa na kutafakari wewe ni nani hasa kumbuka ulichokuja kukifanya hapa duniani.
Wewe ni majibu na sio maswali.
Dunia huwa inatupa maswali na sisi...
Wakati tunashangaa wabunge kupata mshahara mkubwa.
Mnabidi kujua pia mbunge anahesabika Kama diwani katika Eneo lake mfano katika municipal yake anayotokea.
Hivyo Asali imeshafika kwa waheshimiwa madiwani kwahiyo Mbunge ananufaika pia na marupu rupu ya udiwani.
Kwa uzoefu wangu niliokutana nao hapa Tanzania na Africa nimegundua vijana watanzania wanaponzwa na kupenda kuomba hela ,hii inaua connection kwa haraka Sana.
Haya mambo sita unabidi kuyazingatia kijana
@ Kuhakikisha unakuwa Giver na sio taker.
@ Self improvement -jifunze namna ya...
WIVU - ni kutamani walichonacho wenzio.
CHUKI - chuki nikutamani walichonacho wenzio na kutaka wao wasipate Ila upate wewe.
MTU mwenye wivu anasumbuliwa na tatizo la scarcity mindset.
Ila MTU mwenye chuki anasumbuliwa na Poor self-worth
Hivyo MTU mwenye chuki ni hatari Sana kuliko hata MTU...
Tangu huu Mchele ulipotolewa na Marekani nimewaona Watanzania kuwa wana akili ndogo sana.
Ikiwa mnashindwa kuwapa watoto wenu chakula bora huko shuleni na wanakonda na kupata utapiamlo, then ghafla mnapata msaada mnakimbilia katika kichaka cha ushoga!
Hizi nchi za watu wenye low minded people...
Kijana na wazee, mada hii ni fikirishi ila italenga kutoa maana kuhusu Maisha. Hapa duniani haijalishi upo mjini au kijijini Ila unachohitaji ili ufanikiwe na kutoishi maisha ya kuangaika ni kibali.
Zingatia huu mchakato kwanza ili upate kibali.
Fanya chaguzi kwa kuitikia wito wako. Ukiitikia...
Naona watu dhana ya upendo inawasumbua nadhani sababu ni uhaba wa maarifa.
Elewa na fahamu kuwa MTU anyekupenda ni mtu yeyote asiyekutakia mabaya .
Kina dada wanalia sana kisa hawaelewi philosophy
MTU anaweza kukupa kila kitu kizuri kwa lengo la kukutumia na mwisho kuua focus yako.
Elewa...
Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama msomi.
Inafikirisha Sana hili jambo. Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.
NB: Vijana jifunzeni kiingereza ili msipitwe na maarifa maana maarifa mengi yapo katika lugha ya kiingereza.
Hili jambo huwa linasababishwa na MTU kukosa vitu viwili
@ Sympathetic
@ Empathetic
MTU akikosa huruma ataiba ,atadhurumu n.k
Na MTU akikosa kuhisi hisia za MTU mwingine na Ku-feel Kama anavyo-feel au kuvaa viatu cya mwingine basi ataua, atatesa na kuangamiza.
Hivyo majambazi , wote ...
Hii huwa naisema kila siku MTU mwenye AKILI Sana na akawa anajua kuzitumia , huwa hatafuti kazi.
Mfano MAX MELO muhaya serikali ilimtafuta ili awasaidie kazi
Hivyo vijana self -investment ndo kila kitu , jithadi uwekeze katika wewe na banda ya hapo watu watawekeza katika wewe.
Ajira umekuwa...
2PAC sio msanii bora Wa wakati wote Ila nyimbo yake ya dear Mama ndo nyimbo kubwa na bora ya wakati wote katika historia ya HIP-HOP
Kuwa msanii bora wa wakati wote tunajikita katika Mambo ya ndani na nje, Kama nidhamu, UTU, kujitoa na kuwa positive outcomes kwa jamii.
Kama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia .?
If there's a phone in heaven , I could be in touch with my Grand-father ili kumjulisha kuwa yale mashamba yake makubwa tumeyauza na kujenga visima vya maji Kama alivyoacha ametuambia.
Nimefatilia siasa zote kutoka Ccm na upinzani Ila vijana bado hawapo matured mentally.
Ukiwatazama vijana Wa Uvccm wao hakuna wanachowaza zaidi ya matusi, kuua , kujeruhi na kuwafunga wakosoaji Wa CCM.
Ukija kwa upinzani hawa kiasi chake wanakuaga na hoja nzuri ila tatizo lao kubwa ni lile la...
Naomba nieleweke hii inaweza isieleweke Ila ndivyo ilivyo, hali yako ya uzuri huwa inajiumba taratibu kutokana ndani yako.
Hivyo ikiwa unayoyapitia ndani yako yatakuwa magumu na yanakunyima furaha hadi kujichukia hivyo ule uzuri wako wa Asili utapotea.
Hoja hii naithibitisha Kwa kutazama...
Kama wewe sio mtaalamu wa kupiga mipira iliyokufa , hutowaweza single maza.
Unajua katika mchezo wa mahusiano sio kila mchezo MTU anaweza kuutawala wote ,hivyo kupiga mipira iliyokufa hiyo kazi wanaiweza wataalamu tu, ikiwa wewe sio mmoja wao usilazimishe..
Huwezi wasikia wataalamu wa hizi...
Wakuu , Hivi inakuaje unamtongoza mwanamke anaishia kukutolea nje huku akikusindikiza na dharau za kutweza utu wako , Ila suddenly akijua unamiliki mtoto mzuri ambaye ni classic anakutafuta tena by any means ili uwe naye.
Wanawake wengi wakibongo wanaishi katika illusion Sana that is way MTU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.