Naona tangazo la mchezo wa ngumi, ([emoji3037])
Kati ya Karim Mandonga na Golola Moses kutoka pale Kampala Uganda, tarehe 29 mwezi huu wa July, Kwa kifupi promota anayeandaa hili pambano pamoja na Mandonga mwenyewe aliyekubali hili pambano ni kwamba hawana akili.
Golola Moses ni bondia mkubwa...
Ndugu zangu,
Muamini au msiamini mimi nilikuwa muhanga wa punyeto na kupungiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Lakini kuna thread mbili zilikuja humu moja ni kuhusu kitunguu maji, mkaa, mkate na Asali, nyingine ilikuwa ni kitunguu swaum kukata kata kama sles peke sita za kitunguu sahumu na...
Kama mada isemavyo, bila kupepesa macho naomba tff wamrudishe maximo,
Naamini kwa uzoefu wake katika soccer la Tanzania na mpira anaoufundisha wa 50% kushambulia na 50% kuzuia naamini tutafika Qatar, pia anajicho la kuchagua wachezaji na mhamasishaji pia, Ndayiragije kandarasi yake naamini...
Nisiwachoshe wakuu kama mada isemavyo,kuna makundi matatu ya watu wasemao ukweli daima nayo ni;
1. Vichaa: hawa watu ukisikia wanakuambia kitu usikipuuze huwa hawana desturi ya kudanganya japo watu wengi tunawapuuza sana siku zote.
2.Walevi: Hawa nao wanaingia kwenye kundi hili pale wanapokuwa...
Habari zenu waungwana,
Hongereni kwa kazi na poleni kwa ukata tulionao.
Nije kwenye mada, mwaka 2010 mwezi wa 12 tarehe 23 siku ya alhamis pale Dodoma nilipatwa na tukio moja lililoniacha kinywa wazi. ilikuwa hivi, nimetoka zangu chuo udom nikapita homu makole ndo nilikopanga, nikaweka baadhi...
Nisiwachoshe wakuu,
Ipo hivi wakati naishi hapo Dar kabla sijaja huku kwa madiba kutafuta maisha nilikuwa na mpenzi, na tulipendana sana na tulikuwa na mipango mingi sana ya kuja kuishi pamoja na kuanzisha familia, na hata baada ya kuondoka hapo mawasiliano yalikuwepo tena sana ilikuwa haipiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.