Na wengine wanapenda kamseleleko, wakiona binti familia inajiweza. Point sio ajira tu, swala je uko tayari au utaamudu maisha ya ndoa? Maanaa ndo sio shereh tu
Habari za muda huu wapendwa katika bwana. Naomba niseme hili kwa uchache tu.
Mabinti wengi wamekuwa moto mno na kujikuta wanangukia pua wakitangaziwa ndoa na hawa watoto wetu wa kiume wenye mikakati yao, bila kuchukua muda wa kumsoma na kumfahamu muoaji, mwisho wa siku wanatutesa wanandugu...
Hili jambo linapande mbili,
Mapenzi na urafiki baina ya mtu na mtu,
Kwenye mapenzi mmoja akizingua aende salama "amalize mwendo salama" Hata mimi sijali
Lakini kama ni rafiki, nafikiri unahitaji muda zaidi wa kujua kwanini yanatokea hayo, sisi ni binadamu tunabadilika muda wowote si dhambi...
Daaa huu uzi umenigusa mmnoooo,
Nilikuwa na rafiki pia, alikuwa ni zaidi ya ndugu yangu,
Alikuwa na mwanamke ambaye sahizi ni mke wake, nilimpenda yule dada kwaajili ni demu wa rafiki yangu, alipooa nadhani ilikuwa ni ndoa yangu ya kwanza kuchangia hela nyingi.
Alipoolewa tu yule dada jamani...
Dada umechafukwa!!
Hii mitandao hata sio ya kuichukulia serious, wengi tunapita kupoteza muda tu na kuangalia kuna mapya gani duniani..
Muhimu ukiona mtongozo na wewe huutaki kaa zako kimyaaaa endelea kuperuz kwa raha zako.
Lakini ukisema kila jambo ulibebe humu, utaumwaa kila mtu na akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.