Wadau habari za kazi
Naomba kujua kati ya Toyota vanguard, Toyota Harrier na Toyota Kluger ni ipi ambayo mtu akiwa nayo haitamsumbua sana?
Natanguliza shukrani.
Kujenga eneo la wamachinga kwenye sehemu ambayo ni hifadhi ya barabara,ili kuwaondoa katikati ya mji je huku ni kuwasaidia au ndiyo kufukia shimo kwa kuchimba shimo?
Habari ya asbuhi wana jukwaa na wadau wote.
Naomba tuelimishane kuhusu tofali za ujenzi za cement manake hua naona kuna tofali za urefu, upana na unene tofauti tunapokua tunajenga nyumba zetu ziwe ni za makazi, biashara au makazi na biashara:-
1. Kuna tofali za nchi sita hizi wajenzi wengi...
EID MUBARAK.
Ali Express, Amazon, Alibaba, eBay wapo nchi gani?
Je watajwa hapo juu wana ofisi au maduka yao hapa Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Husikeni na mada hapo juu. Naomba tubadilishane juu ya namna bora ya kutumia kitunguu swaumu kama dawa au kinga na mambo unayoyaona baada kukitumia.
Mimi huwa natafuna kitunguu swaumu wakati wa kula chakula au hutafuna kwa kuichanganya vitafunwa kama karanga na korosho hii ni baada ya...
Ndugu wanajamvi habari za mda. Niende moja kwa moja kwenye ombi kwenye ujenzi wa nyumba bora za kuishi kwa watu wa kipato cha chini na kati kuna changamoto ambazo humlazimisha mhusika kujenga nyumba yake kidogo kidogo na huchukua mda mrefu kumaliza. Ombi langu kwenu ni kuomba wale wenye udhoefu...
Wadau habari za jumapili.
Naomba kujua mahala ambapo naweza pata car vacuum cleaners kwa Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waungwana salam zenu kutoka kwangu.
Naomba kufahamishwa sehemu naweza pata viatu na mikanda ya ngozi ya mtumba nikiwa Dar es Salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikifanya mapenzi na mwanamke ananilalamikia kupata maumivu ya tumbo la uzazi baada ya manii yangu kumuingia Je nina tatizo gani kwenye manii yangu tiba yake ni nini?
Naomba msaada manake naona ntakimbiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.