hahahahah umefulia kweli,CDM ndio nzuri inayomwagia watu tindikali na kukodisha vikosi vya kuleta vurugu kutoka nchi za jiran!!ktk uongoz wenu watu wakiandamana si ndo mtawaua wote
walidhan ccm haifai walipofika CDM wakaona ndo utumbo kabisa nahsi sasa wanashukuru kwa kuvuliwa uana chama coz pengine ingekuwa ngumu kwa wao kufanya hivyo kwa aibu
ni mawazo finyu ya watu wachache km ninyi na kumbuka kupigiwa makof c kufurahisa yanaweza yakamaanisha vingine hata mpoto aliwah nena,nape ataendelea kufanya kazi aliyoagizwa na nadhan wengi mnasahau kuwa anayofanya nape si maamuzi yake binafsi ila anasimamia kile alichoagizwa akifanye kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.