Kilo 3 kwa mwezi ni nyingi sana,
Nilikua na 105kg November, nikapiga zoezi mwezi mzima nakata 1kg,
Ilipofika January nikawa nakula matunda jioni,mchna nakula ukubwa WA ngumi ,niliginga 80kg wife anasema nnatisha,
Nimezipandisha kidgo 85kg
Aslalekum,
Naleta mada hii ya shida ya maji hapa Bomang'ombe na viunga vyake. Anayesimamia huu mradi (Engineer Shoo) ndio tatizo sijui kwanini hajiongezi.
Kwa mkoa wa Kilimanjaro kukosa maji miezi mitatu au miwili mfulilizo hii ni kudhibitisha kwamba huyu ndugu yetu Shoo huu mradi umemshinda...
Mimi mwelewa nadhani Una tija maana mpaka umeamua ku post uku ina maana unamfatilia na pia unangojea uskie nini kitapakuliwa,
Ungepotezea ina maana nonsense,
Ila unaleta na uzi uku something is crushing ur heart.
Sina team jaman ata kiba namkubali sana
Bongo tunapaswa tuwe na wahandishi wa dizaini ile, Salute kwa Lissu kwa kujibu technique questions toka kwa Stiv though yalikua kimitego sana! 2020 is loading...
wakupiga kz hawapo jf, umeingia uku ina maana meza nyeupe hauna files na pesa ipo benki uliyokopa kila mwezi unairejeshea, kama pesa ni yako ukiweka 18% p.a kama nmb still utakua na profit nzur tu, lakini tokana na wewe umekopa ndo maana unatuwekea 40%
Maskini kilaza, ata makinikia hujui/step za kufungua bsnes in tz/agoa? Sasa we ni mtanzania au mkenya au mrundi? Ukitoka apo unalamika nini sasa!! na bado chuo mlizoea kupiga chabo pigeni na kwenye mchujo!
Magu hahajiri, jk aliposema mtanikumbuka, kuna waliokua wanaimba tutaisoma namba! wacha tuisome mdo mdo, jana nlikua ofc ya tra nmekuta kompyuta km 6 front ofc hazina watu nlipojaribu dadis wakasema kz haziend na mkuu kasema hakuna kuajir waliopo wanatosha akizidsha wanacheza game!
Du sasa graduate ata km nimesoma project mgnt, nikiitwa interview kwenye fani ya education nitashindwa kujua ni nn chakufanya!? jiamini na tumia tahaluma yako km graduate. Ndo tatizo la match items na multiple choice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.