Hakuna Sector iliyosaidia Serikali kutoa Afya Kwa Wananchi kama Private hospitals. Huduma zao zilindwe na kuheshimiwa. Hivi mlishawahi kuumwa ukaenda Amana au Temeke au mwananyamala? Huko maybe Wana Huduma nzuri Kwa Martenal Health tuu. Msongamano mkubwa Daktari anakulipua ahudumie Wengine...
Sawa ngoja tukajipange huko Mwananyamala, Temeke, Mabwepande na Palestina hospitals tukisubiri Huduma za X-ray, Usb, echo, ECG, holter monitor, trademill, MRI, ctscan, dialysis, physiotherapy n.k
Mtumishi WA miaka ya 84+ atajipanga Kwa Mishahara UPI na Marupurupu yapi? Wee umeanza kazi 2015 unaanza na Mshahara 1.5m. Sawa na Mshahara WA aliyeko kazini miaka 35. Lazima utaongea Pumba hizi bcoz Kwa Mshahara huu Una uhakika wa Gari, Nyumba na Miradi.
Vijana Kibao wamelazwa JKCI wanasumbuliwa na Cardio, Kisukari na Figo . Wengi wamekufa unaowajua. Usibeze Wazee. Mbona Museven yupo imara. Trump mgombea ajaye 70+. Mama 60+ anatawala na unamsema anaupiga mwingi. Tafuta kuingiza Kipato waache Watumishi wanaotumika according to Sheria na Muongozo...
YAni Una mdiss Mstaafu kama vile Wewe hautastaafu. Usipostaafu utakufa au utafukuzwa kazi. Kustaafu ni Heshima na Baraka siyo mwisho wa Maisha. Jani la Njano haliwezi kucheka Jani kavu.
Ushahidi wa Simu ya House Girl ulikuwaje? Huko Mitandaoni hawakugundua House girl alikuwa anawasiliana na Nani? Hadi kufikia kuambiwa ondoka akapewa 20000 tau?? Au ushahidi huo umetupiliwa mbali??😭😭😭🙆🙆
Mna Tabia ya kutukana Personality za Watu. Ndiyo kisa hata Marehemu Fulani hivi mlikuwa mnatukana hadharani mkimuita Mgonjwa wa kujinyea. As a result hakuna aliyewakanya hadi Leo kutukana Wazee na Wagonjwa ili mpate Kura. Siyo poa. Majambazi Wote walihukumiwa Jela au kuuwawa. Lena alishawahi...
Mpaka Kanisa watenda Haki, wenye hofu ya Mungu hawajasema. Pale Azania Front hawakuzubutu kumtaja Mbowe atoe Salaam. Alitajwa mwishoni Kabisa na Chaplain WA hapo. I miss Bagonza na Shoo wangesema.
Watu wakishastaafu hawezi kuonana tena kama Kundi. Halafu ni Wizi tuu Wastaafu Kwa Mwaki hata 5 hawafiki. Kwa Nini wasingetengewe pesa Yao ya Mafao ya Mkupuo kama ilivyokuwa Zamani? Anyway Mifuko ya Hifadhi imetumia Fedha za Watumishi kuwekeze Kwenye miradi isiyolipa . Eg Majengo ya Pspf, Lapf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.