Nimekuelewa
Wewe shida yako ni ndoa kama ndoa
Ni sawa,ila haimaanishi ilikua ndoa mahaba niue,kama ingekua hivyo atleast ukimwi usingekuwepo ndani humo to begin with!
Wote hao akina kibonde sijui ruge sijui habash,etc sio mifano ya maisha kabisa
hakuna cha ajabu hapo dada Heaven..wote walikua wagonjwa,kaanza wa kwanza kwenda wa pili ni lazima afate right away
Hakuna sijui cha vows,sijui anampenda sana and other story za kufikirika.....mortality imewakuta kaanza mmoja huyu mwingine hatachukua round
Ndoa na blah blah zingine ni...
Sina imani kama wewe
Wewe ndio unatuaminisha unacho amini wewe
Nikuulize tu Bwana Kitali,tupo hapa tuna discuss mambo ya kidunia,tunatoa hoja za kidunia....yanini umetumia imani zako binafsi za kidini kudiscuss mjadala huu ambao hauhusiani na dini kabisa?
Kulikua na haja gani?
Kama sio...
Mkuu naona dini ishakuaharibu rationality na uwezo binafsi wa kufikiri tayari
Huwezi kua extreme hivi na kutukana kiasi hiki kisa eti unatetea biblia
Tuseme Mkuu Kitali as you are now,unaweza kunipiga panga sababu tu nimedharau mumbo jumbos za kwenye biblia,halafu kumbuka mi jirani yako wa...
Mkuu Kitali hivi unaamini hizi story za kijinga hivi za kwenye biblia?
Duh maajabu haya
Halafu akina Kitali ni very brainy nakaa nao jirani Moshi kijijini kule...very very bright
Wazo la kijinga sana
Baada ya miaka 100 utaunganisha Morogoro na Tanga iwe tena Dar es Salaam maana kote pakua pamejaa?
Solution hapa ni kuendeleza miji mingine nayo iwe mizuri kama Dar watu wahamie au kubaki huko wasilazimike kuja Dar ili Dar isijae ipumue
Cha msingi ndio hicho,lazima kuwe...
kila mtu apate hiyo elimu kutegemea na mahali maisha yamempeleka
working class haiwezi fundishwa financial education ya banker au mfanyabishara mkubwa
jifundishe mwenyewe
ila kimtaala ni kwamba wengi wa wananchi wanahitajika wawe working class,hivyo elimu per mtaala na kujibia mitihani...
Yaani mkuu una nichekesha sana
Wewe kua masikini ndio kunafanya mfumo ufanye kazi sawa sawa
Na pia hilo jukumu la kugeuza benki ni chuo cha kufundisha wanadamu sijui umetolea wapi hasa?
Jukumu la benki ni kibaraka wa serikali kukusanya amana na kukopesha watu wenye akili kwa niaba ya serikali...
Mkuu
Benki haipo hapa kutoa "Elimu",ipo hapa kufanya biashara
Wewe kutokujua ku-claculate hata riba ni very good for the bank business na sio kazi yake kukuelewesha anything
Walimu na hao wengine wanakopa kwa consumption
Ulaghai wa kmapuni za mikopo mi siuoni...kama wewe unakopa kwa ajili ya...
Mkuu unashindwa kuelewa
Benki sio mama yako
Bank is there to do business na ukifa ni ajali kazini kama zilivyo hospitali unaenda ukiumwa wanapiga hela na ukifa wanapiga hela
Wewe kama unaona kua tajiri unaumia sana acha kaa group la masikini na lalamika vizuri
Serikali,Banks na Matajiri wapo...
Kila mtu akiwa mjanja na kila mtu akawa na pesa nani afanye kazi kufanya uzalishaji nchi iende mbele?
Lazima wasiokua na pesa wawepo waajiriwe wajenge huduma na bidhaa nchi iende mbele
Sasa kila mtu awe na pesa,kila mtu awe tajiri,NANI AFANYE KAZI mtaroni nchi iwe safi?
Wasiokua na pesa wawe...
Hoja nyepesi
Kuielewa sio kwamba nimekubaliana nayo
Wewe ni mwehu leo unatumia sababu ya "kabila" kesho utatumia sababu ya nini?
Utajiri?Umasikini?Dini?Rangi?Occupation?etc
Kafie huko
Cha kwanza na wewe ni mbaguzi kama sisi wabaguzi wengine lakini still una mbavu za kunyooshea wengine kidole
Kwanza umetaja "mikoa ya watu" maana yake unabagua wengine which means ni kama ukabila tu
Kununua ardhi mahali au kupata ardhi ni umauzi wa mtu na mfuko wake,huwezi pangia mtu mfuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.