Mungu hamwachi mwenye nia ya dhati.japo pa kuanzia pengine panahitaji ujikane.kuna mjumbe ametaja masuala ya shoe shine nk.
Utafanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa Niko tabora ugunga.Nina mwalimu mmoja ni freelancer Airtel na Vida.mwingine ana genge LA matunda gharama kama 1.5million.
Nadhani tumesha badili mawazo tangu Oct 2015,degree kwa sasa ni kwa ajili ya kulima bustani ya nyanya.
Use your education to innovate other areas of life.hata hivyo...
Mimi sitarajii kwenda mapema ila ni mdau wa damu.wengi tunakwamishwa na nauli.Agnes utafika kabisa .cha msingi ungana nae kwa sela ya kanisa ''distance is not a barrier''
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nimemjua Leo ila nimesikitishwa jinsi alivopata shida hiyo.
Inatufundisha kuwa uhai wetu uko mikononi mwa Jehova tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan uko sahihi.imani ni kwa waliookomaa huenda baada ya kupitia mazoezi mengi ya meditation.
Vilevile kufikia hatua ya kuwa na imani timilifu ni mchakato unaihitaji meditation.
Da!!!nimepitia Ka Uzi haka.kana utata.
Kuna hekima niliipata mahali ,inasema.''ukienda mji wowote Tanzania usimkute mchaga,hama haraka maana hapafai na hautopaweza''ikimaanisha those people are talented to utilise fully resources .ukisema hapafai mwingine anasema panafaa.
Ushauri wangu::tumia...
Ulikuwa unakujakuja kea mbali.basically kuamini tunapokea kabla ya kuona.hata wana falsafa wanakubali juu ya vyanzo vya ufahamu/sources of knowledge ,authoritative, imperial,intuitive,ns revelation. Sisi wanadini tunatumia saana hiyo ya mwisho.
Si kwamba hatuwezi kuhoji.na tunahoji ila tunabaki...
Mama mchungaji nakuuliza kwa nini ukaondoka nyumbani kwa mchungaji .ulitegemea akitaka ndoa aipate wapi???he,wewe ulipoondoka ukaenda huko haukutoa Mali(I call it a soda or chips) kwa wengine???
Kama hilo ulikuwa sawa,je, ulifanya kwa kumwadhibu mchungaji???if so ,una hukumu kubwa zaidi.
Wewe...
Ndugu zanguni kila mmoja wetu amewahi kukosea hatua Fulani katika maisha.Asiyelijua jaribu ,ana Uhuru Wa Ku beza.Mungu alimfufua Lazaro ,anaweza kumwinua tena.liko tumaini bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.