Wewe ndio huna akili za kung'amua alichosema Hashimu. Sikiliza tena pengine unaweza kuelewa.
Kwa kukusaidia ile ni kazi ina descriptions na kila kitu si lazima umpende raisi ndio ufanye kazi. Wewe kazini kwako ni lazima umpende boss wako?
kwakweli Dar foleni ni shida. kwa wale wapanda daladala sijui hata kama huwa wanabakisha nguvu za usiku.
Mimi ninatumia pikipiki walau inanipa flexibility ingawa msimu huu wa mvua kidogo ni changamoto.
Ndani nina Mark ii huwa ninaitumia week end tu na inapolazimu. Juzi nilitoka nayo kwenda...
mkuu usijidanganye kwamba insurance italipa mkopo wako endpo uta default no, ni pale ukishindwa kulipa mkopo tokana na matukio ya aidha umepata kilema au umekufa.
Lakini kama una dunda mtaani mali itauzwa tu.
kaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.
Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.