Nikiwa kama mpeleka maombi mahakama kuu kuhusu kesi ya madai
sasa sioni sababu ya kuendelea na kesi nataka kujitoa, Je nafanyaje? Na kesi bado haijaanza kusomwa.
NAOMBA MSAADA WENU NAMNA YA KUANDIKA BARUA AMA MAELEZO YA NAMNA YA KUJITOA
BREAK NEWS
Habari za hivi punde
Msafara wa wabunge wetu unao ongozwa na Makamu mwenyekiti CUF bara umezuiliwa na police usitoke nje ya newala Leo kuendelea na ziara ya ufunguzi wa matawi na vikao vya ndani ya chama ktk ratiba yake Leo kuelekea Tandahimba
Polisi mtaendelea kutumiwa na ccm hadi...
Mwenyekiti wa chama cha wananchi cuf prof ibrahim LIPUMBA leo amezindua kauli mbiu ya haki na furaha 2019/2020
lipumba akiambatana viongozi mbalimbali wa kitaifa aliwahutubia maelfu ya wanachama wa mkoa wa dar
Wale wanaosema cuf imekufa baada ya yule kiajuza cha zanzibar kwenda act hakika...
Jumamosi hii ya tah 22,saa 2 asubuhi pale kwenye ukumbi wa Diamond jubilee
Mwenyekiti wa CUF ambaye ni mwanasiasa msema kweli.
Prof Ibrahimu Lipumba atazindua sera ya furaha na demokrasia itakayozingatia misingi ya haki sawa kwa watu wote.
Hakika huu ni ubunifu na ni mpango wa kukiweka tayari...
Chama cha wananchi CUF kinawataarifu wanaCUF na Watanzania wote kwamba kesho,
Tah 15/6/2019
Saa 3 asubui
Yalipo makao makuu ya CUF-buguruni
Mwenyekiti wa CUF na bingwa wa masuala ya uchumi africa na duniani..Prof Ibrahim LIPUMBA ataongea na vyombo vya habari kwa maudhui ya kuichambua bajeti...
PROF LIPUMBA ATEUA JESHI LAKE LA KUINGAMIZA CCM KUELELKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NA UCHAGUZU MKUU WA MWAKA 2020
Mwenyekiti wa cuf Prof Lipumba baada ya kushauriana na Makamo Mwenyekiti wa Zanzibar Abbas Juma Muhunzi na Makamo Mwenyekiti wa Tanzania Bara Maftah Nachuma amewateua wafuatao...
Hali ni mbaya sana ya uchafu katika baadhi ya maeneo yetu ya manspaa ya kindoni Dar es salaam:
Kufatia Agizo la manspaa kutaka makusanyo yote ya wakazi yapitie uko kwao ivyo wakandarasi wote wamegoma kuzoa taka mpaka utaratibu wao wa zamani uendelee. Wa kati wowote kuanzia sasa kutalipuka...
Nina mke lakini nina kidum changu ambacho kinaniliwaza haswa
Jana tulitofautiana kidogo kwa kupishana kiswahili,leo hii kwa hasira zangu nimerudi hom pasipo kumtembelea nyumbani kwake, kitendo hicho kimemkasirisha sana kiasi cha kufikia kutaka tuachane
Kwa kweli akili yangu haikubali kumuacha...
SALUM MWALIM [CHADEMA] ''OUT'' KUGOMBEA JIMBO LA KINONDONI APINGWA PINGAMIZI ZITO
.
NI PINGAMIZI ZITO LA KISHERIA KUTOKA KWA MGOMBEA MAKINI MHE RAJAB SALIM JUMA.
.
Ni masaa matatu yalitosha kupitia FOMU za mgombea wa chadema Ndugu Salum Mwalimu na kugundua makosa chungu mzima kwenye FOMU...
Chama cha wananchi cuf,leo tah 21/1/2018 kimezindua kampeni zake jimbo LA kinondoni katika viwanja vya Ali mapilau Kata ya makumbusho
Uzinduzi huo uliohanikizwa na burudani mbalimbali na uliuzuliwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo
Akiongea kwa kujiamini mgeni rasmi wa uzinduzi huo Mh Abdul...
Mh. Rajabu Salum mgombea wa CUF jimbo la kinondoni Leo amechukua fomu rasmi. Mgombea huyo amekamilisha zoezi la uchukuaji wa fomu akiambatana na viongozi mbalimbali wa Wilaya na taifa akiwepo Mh. Abdul Kambaya.
Mbali na uchukuaji wa fomu, wafuasi wa CUF waliojazana mbele ya ofisi ya Manispaa ya...
Mimi ni mkazi wa jimbo la kinondoni nakaa Kata ya tandale maeneo ya mtogole
Jana usiku maeneo haya ninapoishi mida ya saa tano mpaka saa sita usiku kulikuwa na kikao cha chadema kilichofanyika kwenye nyumba ya jirani yangu,mwanzoni sikujua kama ni kikao cha chadema,lakini leo jioni wakati...
THE CIVIC UNITED FRONT) CUF - Chama cha Wananchi)
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTEUZI WA CCM KWA JIMBO LA KINONDONI
Waheshimiwa Watanzania, tumepigiwa simu na Wanahabari kutaka kujua msimamo wa CUF kuhusu uteuzi uliofanywa na CCM dhidi ya Maulidi Saidi Mtulia kugombea Jimbo la...
Lipumba aendelea na kampeni zake jimbo la longido!!
Leo ilikuwa zamu ya namanga,wananchi wabaki vinywa wazi baada ya kusikia maneno yaliyojaa nguvu ya hoja haswa katika eneo la uchumi
Uchumi ulikuwa unadadavuliwa kitaifa na kimataifa..
Ngoma itakavyopigwa ndivyo itakavyochezwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.