Huku mkoa wa Tabora yaani Umeme katika wiki mbili Leo ndio umeshinda asubuhi mpaka saa 10 saahizi wamekata.
Sasa hivi kila siku asubuhi kuanzia saa 1 wanakata kuja kurudi ni saa 6 usiku [emoji24]
KAMA TATIZO NI MABWAWA KUKOSA MAJI TAFUTENI HATA UMEME WA NUCLEAR KWA KIM JONG HOOO KULE WA...
Arrrrrlight Asante sana Aaahhh nistairi Moja tena maridadi zaidi tunakwingilia kaskazini mashariki kusini mwa India tunakutana na alie starling kwenye HOLO SINEMA.....
[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari za muda huu wakuu...
Mimi ni Mdau wa jukwaa hili la technology nimefungua channel Kule youtube inayohusu ma.Game na teknolojia kwa ujumla ninaomba support yenu kwa kusubscribe channel yangu ya youtube inaitwa
SWAHILI ZONE na kushare video zangu huwa naweka maelekezo jinsi ya kudownload...
Yaani leo nimefungua ile Menu yao nijiunge bando la buku nimekuta eti Mb 350 ndio kwa buku Hadi nikajua nimekosea ngoja nirudie tena duh kumbe ndy ilivyokuwa.
Yaani jana2 nimejiunga kifurushi cha Kanda ya ziwa kwa buku ni Mb GB 1 dakika 100 all network sms 100 Siku 2. Duh yaani kesho naenda...
Wakati wanasayansi duniani wakihangaika kupata chanjo na tiba ya virusi vya corona, rais wa Madagascar Andry Rajoelina amezindua dawa ya mitishamba ''inayotibu'' Covid-19 .
Hata hivyo Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kuwa hakuna ushahidi wa tiba ya Covid-19 baada ya Bwana Rajoelina...
Wakuu naombeni maana ya maneno haya:-
-Kuna anaejua alafu anajua kuwa anajua.
-Kuna anaejua alafu hajui kuwa anajua.
-Kuna ambae hajui na anajua kuwa hajui.
-Na kuna ambae hajui na hajui kuwa hajui.
W akuu habarini za saahizi?
mimi sio muongeaji sana ngoja niende kwenye swali direct
kama headline inavyo someka naomba kufahamu nauli ya ndege kutoka Dar-es-saalam to seoul, south korea - Go and return na jinsi ya kupata visa na passport
maana nataka kwenda kufanya matembezi ya mwezi mmoja huko...
Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
Kuna huu mchezo mpya unaitwa bonanza a.k.a Dubu ni mchezo mpya wa kamali umeletwa na wachina,watu wengi mnanaufam. huu mchezo ningeomba serikali muwaambie hao wachina waweke sehemu maalum ya kuchezea sio ovyo ovyo kila mahari watu wanacheza hata vichochoroni, Unakuta watoto hawaendi shule...
Yaani tangu wa apdate tuu hii web aplication basi mimi na JF sio marafiki tena nilikuwa natumia smartphone nikaiuza sasa huwa natumia ka tekno ila tangu wa apdate tuu hii web nimekuwa nikiingia jf naambiwa javascript disabled [emoji36]
NB.Jamii forums toweni hiyo javascript watu watumie JF na...
naombeni link ya Kudownload gta yenye mb kidogo na stolage kidogo then mtufahamishe jinsi ya kulidownload kwa faida ya watu wote hata wale wanaotembelea google kufahamu kujua jinsi ya kushusha gta nadhani nimeeleweka vyema
Ningependa kujua hv tutoria ipi ambayo nitaweza kudesgin web kwa html na css au unalipia kwanza wordpress ndio unadondosha code?.
please kama haufahama sivyema ukaleta maneno ya kejeli!
Kwa Miezi Kadhaa Nimekuwa Nikifuatilia Kujua Ni Kiasi Gani Cha Pesa Kutoka Dar Mpaka Seoul South.Korea Sasa Nimefanikiwa kujuwa.
Kutoka
Dar Kwenda Seoul Ni Million Mbili Na Kidogo Hv Za Kitanzania lakini Inategemeana Na Msimu, Kuna Muda bei Inapanda Na Kushuka!.
GOODLUCK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.