Search results

  1. H

    ......memory card......

    usikune kichwa sana, hyo memory card kama ni mpya, basi feki. Kama sio mpya, basi ina virus, na uitupe
  2. H

    Zuku tv kiboko

    Wewe kweli huelewi dstv nini. Huwezi hata cku moja kulinganisha dstv na hawa wapuuzi wengine wa kibongo, wanaochoma mahindi tu. Dstv inakubalika Africa nzima+Ulaya coz huduma na station zao ni world class. Na tena, bei wanazoweka ni cheap sana. $78 unapata chaneli 180+, kutoka kila kona ya...
  3. H

    HATARI: Vifaa vibovu vya kupima UKIMWI & Malaria vyatumika Tanzania

    hapo umesema vema kabisa mwenzangu. This gvnt will kill us!
  4. H

    Tundu Lissu: Tunataka mafaili ya Muungano siyo picha za Nyerere na Karume

    kweli kabisa. Hapo umenena. Ccm hamna kitu!
  5. H

    Tanzania Internet Rates as of May 25, 2011 (Comparison)

    Voda na airtel wako safi. On my side, natumia voda for my comp, but kwny cmu nipo airtel. Voda spidi yao ni nzuri, and so is airtel. Voda kuna unlimited na zina spidi nzuri tu. Also airtel unapata 400MB for a month jst for 2500Tsh, with a nice speed. For me those are the best two.
Back
Top Bottom