Hivi hawa marefa wa Tanzania wanafikiria kutengeneza CV ya kimataifa kweli? Yani kipa anadaka miguu ya mchezaji wazi wazi anapeta? Yaani hawana tofauti na waamuzi wa ngumi za vitasa
Huyu Raisi wa Ukraine anaendesha vita kikomrdy. Anamdunda mtu halafu anapiga kelele yeye kuwa anapigwa.ni sawa na mwanamke anamdunda mumewe lakini kelele anapiga yeye ananiuaa
Dah ukiwaona wanavyonyenyekea siku ya harusi, hasa wanavyopeleka keki kuwalisha wakwe goti mpaka chini, sasa subiri akusome madhaifu yako apate na waalimu kutoka kwenye vikundi vya hisa 😀😀😀
Tatizo manyimbo yao mengi wanaimba kilugha, na kutokana na ukabila ulivyo kwao umeingia mpaka kwenye mishipa ya damu hivyo wanaona malugha yao ya kienyeji ni ya maana sana na nyimbo hizo ambazo hazina tofauti na ngoma za kienyeji kushindwa kuteka nyoyo za mashabiki nje ya jamii zao
Ndio hayo hata yakienda hotelini unakuta yamejazana counter pale yanachagua " nipe hiro...aah hiro siritaki ...." hovyo kabisa mwanaume mwenye akili unaagiza unaletewa umekaa na kutulizana na aliyekuhudumia una msifu hata kama chakula kibaya na ikiwezekana unampa tip kama keep change.....hiyo...
Kafukuza wanawake wenye akili , wasomi na waliokuwa wanamfundisha kiingereza na exposure, muonekano na kujibihave kimataifa akina madam Sepetu, Zari na tanasha anaende kuchukua waimba taarabu huko mchambawima unatarajia atamfundisha kizungu?
Ukiona jamii yoyote kwenye suala la mahusiano na ndoa ni wao kwa wao na hawagusi kabisa jamii yenu ijapokuwa watazuga kushirikiana nanyi kwenye mambo mengine Ni wWABAGUZI wa kupindukia. Ubaguzi wa watu wa Asia ni tofauti kabisa na ubaguzi wa kizungu ambao kwao mahusiano na ndoa hakuna masharti...
Mtahadharishe na mkeo aache kupiga makelele yanayokwenda mbali, inaamsha hisia kwa watoto na familia unayoishi nayo, akidhani anakufurahisha, kuna siku utajikuta umemomonyoa maadili ya familia nzima, maana watashindwa kulala kwa hizo kelele za mahaba na wakiamka wataenda ku practice hisia...
Doctrine of resent possession, epuka kununua vitu kwa watu, nenda dukani hata kama ni bidhaa dhaifu, dai risiti risiti sio kielelezo cha kulipa kodi tu bali ni kithibitisho cha umiliki halali.
Kama unanunua mitaani hakikisha anayekuuzia unamfahamu na lazima muandikishiane kwa wakili au...
Aliyekuambia zumaridi ni mkristu ni nani? Yeye hamtambui Yesu wala muhamed. Hatumii biblia wala Quran. Wateja wake ni ma murtad wa kiislam , kikristu na kipagani. Hata aliyesababisha hili sakata likafikia hapo ni mteja wake aliyekuwa mwislam alizama huko na mtoto wake ndio mahakama ikaamuru...
Huwezi kufungua kesi ya madai kwenye shauri ambalo final decree haijatolewa. Kumbuka bado nole prosequie is not bar for subsequent proceedings basing on the same fact , hivyo wakikamatwa tena hawawezi kuweka P.O ya autrefois acquit ,autrefois convict au res subjudice , kulikuwa na mswada wa...
Mwanamke mlezi ni kivutio cha watalii, atatafunwa tu kiholela, tena liwe tipwa tipwa ndio balaa kabisa, pombe zikimwingia anawahi chooni kupunguza maji , mengi kabla hayajaingia ndandani anaanza maandalizi ya kusaula , lahaula1!!!! Mpaja huo , sisis tulikuwa tunakunja tu grand malta yetu...
🇹🇿 Nyie acheni yenu yaanze shule yakiwa mavijeba sisi tunawapeleka
🇹🇿 Nyie endeleeni kuyadekeza ya kwenu fainali kwenye soko la ajira
🇹🇿 Nyie endeleeni kuwaachia ma house girls waendelee kucheza nao sisi wa kwetu bora wakacheze shuleni
🇹🇿 Nyie wa kwenu waacheni waendelee kuangalia ma katuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.