Weee kaaa kimya hiyo hiyo ngoma si yako niyamzee wako kama alivaa atajua namna yakuvua kama amevalishwa ataelewa jinsi yakutembea nalo wewe nawe ni mtoto tu katika familia
Ndugu hujui mateso huyo ndugu anatatizo La sononi ndilo kwanza linalomsumbua..unadhani ni nini kitakacho kaa kichwani hata akienda shule gani..ushauri wangu kwake aende kwa matabibu wa akili na ufahamu (saikolojia) na baada ya kutoka huko ugonjwa wake utaonekana tu akienda katika hospital...
Achakujjfanya wewe kuwa kipofu ... Hivyo kwa.azingira gani mkulima was jinijini analima na wanakijiji wenziwe wasijuwe kuwa Mwenzao analima..au halimi ..! Wote huwa wanajuana..kilichobakia nj uhunitu...hivyo tamko lipo sawa tena.. Sanaaa!
Uwezekano wakutenga dini na siasa ni mdogo sana kwakuwa zote ni dini na zote ni siasa..zinamalengo yake na nia zake pamoja na mitazamo yake..hapa napenda nitabaishe jambo kidogo kwakuwa wapo wanaodhani dini ni IMANI NA SIASA NI IMANI..OK ipohivi katika siasa mfano siasa za ujamaa nakujitegeme...
Kule ni rahisi zaidi watu kwa watu wakule kurubuniwa ndiko yanakotokea matatizo mengi yakimataifa mfano meli iliyoleta mzozo mkubwa was samaki baadae tunaambiwa kibali kilitoka kule,meli zenye kubeba madawa ya kulevya duniani tunaambiwa kibali kimetoka kule, gaidi mkubwa kakamatwa ughaibuni...
Jamani povu lanini hiyo no ndotu tu ikitokea hats wewe ukiotandoto ya umilionea na ukiamini asubuhi yake kuwa utakuwa ni milionea kwa ndoto hiyo kwakweli upimwe akili tu
Huo ni mpango wa shetani kutia watu hofu lakini hakuna tukio kama hilo hao watu wa mtwara mhogo in sehemu yao kubwa kama chakula cha kilasiku huo no uzushi wa MTU Fulani tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.