Mimi ni mteja katika mtandao wa tigo na kwa uelewa wangu naamini yanatakiwa kulipia VAT ambayo ni 18% kautoka kwenye ada zinazo katwa kutoka kwa wateja, lakini kuna baadhi ya ada kama za kulipia bili kwenye makampuni mbalimbali unakuta ada ni tsh 2000 lakini VAT unaambiwa ni tsh 30 badala ya...
Miundo mbinu katika nchi yetu imekuwa ni changamoto ambayo wengi wetu tumeizoea tayari..kupanga miji mapema kabla ya watu hawajaanza kuingia kwenye maeneo na hata barabara.katika barabara hizi tulizo nazo je Tanroad na trafic wa barabarani wanashirikiana vipi katika kuitunza??.
Wengi tumekuwa...
Wanaume wa dar mnavyo kumbatiana nakubaishiana kwenye mabasi mkidai msongamano.unakuta mwanaume ameaimama nyma ya jamaa tyt kabisa lakini wote wanaona sawa tu hamna hata kujiskia vibaya...kisa wamezoea, wataacha kuwa mashoga kweli
Ni ujinga sana nchi inapozidi demokrasia...yani huyu uhuru anaangalia mpaka raila ajiapisha na mpaka sasa amemuacha. sasa ameliingiza taifa kwenye matatizo makubwa zaidi.waafrika hatuiwezi demokrasia....
Probably sikatai...ila huyo broker ni wa nje na anaaminika sana kwakuwa yupo nchi yenye miongozo mizuri ya hii biashara,ni wa siku nyingi, execution time yake ya oder ni near perfect etc..saasaa kwa wale wa hapa kwetu wanaotaka watumiwe pesa kwa mpesa ndo waexecute oder ya mtu huo mda wote pips...
Hahahaha hapa ndo mnawakamatia watu najuaa kuwaonyesha hivi..mbona losses umezitoaaa
Unaweka ulizopata tu ulizopoteza zinaweza kuwa zaidi ulizo pata
Nahii app yako ya meta trader 4. Unaringishia trials tu piga meta trader 5
Unataka kujaribu???...nakushauri download trial apps zipo playstore nyingi tu kwanza uone kabla ya kucomit na kutuma hela kwa m_pesa ikaliwa na wajanja
Mkuu mimi ni mtanzania halisi ningekuwa na nia ya kuwapigia chepuo basi ningetoa ushauri na kumtaja jina kwamba broker flani ndiye bora.nilichojaribu kuwaelewesha wengine nikwamba kuna soko la hisa msimamizi ni DSM na kuwa broker wa hilo soko kyna kanuni na miongozo ambayo itamlinda mnunuaji.
Je...
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara.
POTENTIAL: Njia kuu ya magari makubwa,soko kuu la matunda, mradi wa umeme kinyerezi na mengine mengi.
UKUBWA ; 1145sqm.
BEI ; 65mill maelewano yapo
DALALI ; mgao 5% ya mauzo.
MUUZAJI: 0692698616
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara. Nyuma ya frame
UKUBWA ; 1145sqm.
BEI ; 65mill maelewano yapo
DALALI ; atapata mgao 5% ya mauzo
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara. Nyuma ya frame
UKUBWA ; 1145sqm.
BEI ; 65mill maelewano yapo
DALALI ; atapata mgao 5% ya mauzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.