Vipi Mkaruka Mkuu amechezea kamrija kako nini?.
Maana waathirika wote hawataki kukubali enzi zimebadirika, badala yake wanajiliwaza kwa kumchukia Mkuu.
Anachofanya ni kwa manufaa mapana kwa sisi na vizazi vyetu.
Mkuu wangu ninachokuombea ni Afya na Uhai ili uweze kushuhudia maendeleo makubwa ya Nchi yako yatakayoletwa na huyo jamaa unaemchukia kiasi kwamba uko NEGATIVE kwa kila anachofanya, tena anafanya kwa manufaa yako na kizazi chako.
Mwenyezi Mungu akusamehe, yaani Magu ni Tatizo kubwa?!!!!!!.
Ile ni AKILI Kubwa sana, ili umuelewe unahitaji utulivu vinginevyo itakuchukua muda mrefu kumuelewa.
Utamuelewa vizuri Manufaa ya anachokifanya sasa yatakapo anza kupatikana.
Ukiwa Negative kwa kila kitu huo ni Mtihani, huwezi jua uwezo wako mpaka ujaribu kutenda jambo.
Lengo kuu la sisi kununua Ndege ni kukuza Utalii, TZ niya pili Duniani kwa vivutio vya Utalii.
Sasa wewe unaushauri gani?, tuuze Ndege zote tugawane pesa?.
Issue sio kushushwa inatakiwa wasiwe ZURUMATI, wao wapate na Wasanii pia wapate.
Bila shaka mpaka sasa Akili ishawakaa sawa hawawezi kuendeleza UBWANYENYE wao.
Ndugu kwa sasa hivi kama huna uzoefu na Biashara ya Taxi, Bajaji au Bodaboda usiguse kabisa ni hatari.
Kwa mtu ambae ameharibikiwa maisha anahitaji muda wa kutuliza akili kwanza kwa kupata uhakika wa mahitaji muhimu kwanza wakati anajifunza Mtaani watu wanaishi vipi.
Kwakua ni too late kwahiyo unashauri Serikali ifumbe macho. Jaribu kufikilia huo mzunguko ukimkuta mwanao wa kuzaa, mzee mzima unaletewa Posa kijana wako kapata Bwana.
Hivi ndugu yangu unajua madhara ya Ushoga kweli?!!!.
Fikiria huyo mtoto wako wa kiume ambaye unampenda na kumwita JEMBE lako siku moja unasikia kuna Mtalii Kamuinamisha kwa kumpatia Dollar kadhaa, unadhani huo Utalii utakuwa na maana yoyote kwako?. Fikiria nje ya Box Kaka.
Sisi kama nchi lazima...
Mkuu achana na MABajaji hiyo biashara kichaa.
Hebu fuata ushauri wangu, tumia hiyo 1M utaweza kupata matumizi yako ya kila week arafu hiyo 4M inayobaki iweke Bank mpaka akili itulie kwanza.
Ukijichanganya utajuta usawa huu kupata Mtaji ni issue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.