Search results

  1. Ngwanakilala

    Kuhakiki taarifa za mpiga kura kwa kutumia simu yako ukiwa nyumbani bila kwenda mahali popote

    Fuata Hatua Zifuatazo Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura Kwa Kutumia Simu Yako Ukiwa Nyumbani Bila Kwenda Mahali Popote. Ni vyema kila mtu ahakiki na mwezi wa kumi aende kupiga kura ili kuamua mustakabali wa nchi yetu na future yetu sisi na watoto wetu Chagua namba 9 Chagua namba moja Weka...
  2. Ngwanakilala

    Uchambuzi na Majibu: Kitabu cha Mkapa my life my Purpose by Padre Privatus Karugendo

    KITABU CHA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA TATU BENJAMIN WILLIAM MKAPA. Nimefurahi sana kumaliza kukisoma kitabu cha Mheshimiwa Rais wa awamu ya tatu ya uongozi wa Taifa letu la Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa: My Life, My Purpose; A Tanzanian President Remembers. Nilitamani sana kukisoma kitabu...
  3. Ngwanakilala

    Fredrick Mchauru - Mtanzania wa kwanza kupata scholarship atimiza miaka 100. Alikuwa Katibu Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Tanganyika

    Mzee Fredrick Mchauru ambae ni mtanzania wa kwanza kuwai kupata scholarship nchini Tanzania ametimiza miaka 100 leo April 25. Mzee Mchauru alizaliwa tarehe 25 April mwaka 1920 huko Newala Mtwara na alisoma Sekondari ya Chidya na Minaki. Mzee huyu alikua katibu mkuu katika serikali ya kwanza...
  4. Ngwanakilala

    Hivi kwanini hakuna bima (Insurance) za kijamii kama Vikoba au Benki?

    Habari za mchana waungwana, Nimekua najiuliza hili swali labda kuna wataalamu watusaidie. Ni kwanini hakuna vijiji au marafiki au vikundi au taasisi zinazo anzisha bima ya kuwakinga wanachama wake na majanga - community based? zikasajiliwa na kufuata taratibu zote za TIRA Tumeona kuna taasisi...
  5. Ngwanakilala

    Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia amerudishwa nyumbani kwa tuhuma za Upotevu wa Fedha Ubalozini

    Nimemsikia Mh Rais leo alipokua anapokea ripoti ya CAG na TAKUKURU huko chamwino Dodoma akisema amemrudisha nyumbani balozi wa Tanzania nchini Ethiopia kupisha uchunguzi wa upotevu mkubwa wa fedha Utafiti unaonyesha balozi huyu ni mama Naimi Hamza Azizi Na suala hili lilianza kuchunguzwa tangu...
  6. Ngwanakilala

    Zifahamu dalili na tabia ya Nchi Masikini

    Dalili za nchi masikini: Uwepo wa redio FM kila kona Msafara wa Rais unakuwa na gari nyingi kupita kiasi Kila mtu anajenga nyumba/ kijumba Wananchi vichwani kunawaza mpira Matumizi na mapato hayana kanzidata/ data base Kila baada ya hatua tano kuna duka/ kila mtu mchuuzi Watu wanasoma...
  7. Ngwanakilala

    Hatimaye ujenzi wa Barabara ya Makongo Juu umeanza

    Baada ya kusubiri kwa miaka na miaka kama Wakiristo wanavyosubiri ujio wa Masihi, hatimaye leo 12-1-2020 ujenzi wa barabara ya kutoka Chuo cha Ardhi mpaka Makongo Juu na Goba umeanza. Cha kushangaza kidogo ni kwamba ujenzi umeanzia hapa Chuo cha Ardhi kwenye posta na mabweni. Wamefumua ile lami...
  8. Ngwanakilala

    Kwanini Tanzania hakuna viongozi wenye “Vision and Charisma” tena wadogo?

    Binafsi I am not very much impressed na majority ya viongozi wetu. Tanzania sioni viongozi wenye vision and charisma tena wakiwa wadogo kama kina Obama na Sankara. Viongozi wanaoweza kufanya mapinduzi kwenye Wizara, Mikoa, Wilaya au taasisi wanazoongoza. Tatizo hasa ni nini? Chukulia mfano...
  9. Ngwanakilala

    Kitabu Kipya: Historia na Kumbukumbu za Rais Mkapa kutoka Nov 12, 2019

    Taarifa rasmi inasema kua Kitabu Kipya cha Historia na Kumbukumbu za Rais Mkapa kutoka Nov 12, 2019. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolea na Uongozi Institute, Katika kitabu hicho, pamoja na mambo mengine, Rais Mkapa atazungumzia historia yake toka utoto na Nyakati za Urais wake wa awamu ya 3
  10. Ngwanakilala

    Tuna vyuo vya Kilimo lakini hatuna wakulima wakubwa, Tuna SIDO lakini hatuna viwanda vidogo

    Wakuu Hili suala nimekua nalifikiria mara kwa mara Tuna chuo Kikuu cha kilimo SUA lakini kwanini hakuna wanafunzi au walimu wanaotoka pale na kua wakulima wakubwa na bora. Wote wakimaliza pale wanaamini kwamba wanatakiwa waajiriwe maofisini. Ina maana hawa walienda chuo cha kilimo ili...
  11. Ngwanakilala

    Wasichana na wanawake hukumbana na majanga ya ajabu ajabu sana katika maisha

    Waasalamu Leo katika tafakuri zangu za hapa na pale nikakumbuka kisa cha dada yangu ambae ni mtoto wa mama yangu mkubwa. Sister wangu huyu alienda kushitaki kwa babu yetu mzaa mama kwamba mume wa mama mkubwa (baba yake wakambo) huwa anamtongoza na anamtaka kimapenzi. Kesi ilikuwa kubwa sana...
  12. Ngwanakilala

    Tungeruhusu Wagombea binafsi wa Ubunge na kuweka term limit ya vipindi vinne 4 tu

    Wakuu Naomba tujadili na kupata maoni ya wengi kuhusu shauri la mgombeaa binafsi wa ubunge na term limit. Binafsi sioni tatizo na nina pendekeza tungeruhusu wagombea binafsi katika nafasi za ubunge na tungeweka term limit kwamba mtu anaweza kua mbunge kwa mihula 4 tu nchini. Tanzania baada ya...
  13. Ngwanakilala

    Tuelimishane: Malengo ya kuteua balozi bila kumpa nchi ya Ubalozi ni nini hasa

    Wakuu Waasalam. Naomba tujaribu kuelimishana kidogo hasa kwa wale wajuzi wa masuala ya kidiplomasia. Malengo ya Kuteua Balozi Bila Kumpa Nchi ya Ubalozi ni Nini Hasa? na majukumu yake yanakua yepi? na je anakua na mshahara wa ziada kwa kazi hiyo na boss mwengine pia wizara ya mambo ya nje...
  14. Ngwanakilala

    Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

    Waheshimiwa Kuna jambo moja ambalo watu wengi wamekua wanalikosea bila kujua. Kwa maoni yangu ni muhimu kuelewa tofauti kati ya business na investments. Ni muhimu kuzingatia suala la return on investment au Retun on Asset wakati wowote unapofanya investment au biashara. Usipozingatia haya...
  15. Ngwanakilala

    Kwani wazungu wana nini ambacho waafrika hatuna: What is the missing link?

    Afrika ya Kusini ndio the largest economy in afrika with the best infrastructure in the entire continent. Mafanikio haya yamewezekana kwasababu kuna mzungu anaishi pale mpaka leo Zimbabwe uchumi umeanguka kabisa baada ya kuanza kumuondoa mzungu. Na sasa wazimbabwe wote wanahamia afrika ya...
  16. Ngwanakilala

    Wengi walionunua bajaji, bodaboda na uber hawakupata faida tarajiwa

    Wanabodi, Heshima kwenu Nimefuatilia kwa ndugu, jamaa na marafiki wengi waliochukua mikopo na kununua bajaji, Bodaboda au ggari za kufanya uber na kugundua wengi hawakupata faida walioitarajia. Na ukweli wa mambo ni kwamba biashara hizo ukiazisha na ukafanya mwenyewe meaning dereva ukawa wewe...
  17. Ngwanakilala

    Wenye Majina Haya Huwa na Majanga Sana Maishani

    Utafiti wangu wa miaka zaidi ya 20 unaonyesha yafuatayo: 1. Kwenye familia nyingi sana watoto wa kwanza huwa na maisha magumu na struggle nyingi 2. Wenye majina yafuatayo mara nyingi huja kupata challenge nyingi sana za maisha Joyce, Herieth, Judith, Juliet & Holo 3. Watu wengi wenye...
  18. Ngwanakilala

    Kukopesha Watu: Biashara Mbovu na Mbaya Iliyovamiwa na Wengi

    Waasalam Wakuu Kama mnavyojua watanzania wanapenda sana biashara za kuigana jambo ambalo ndio sababu biashara nyingi huwa zinafeli. Toka mwaka 2015 watanzania wengi wenye vihela kidogo walivamia hii biashara ya kukopesha watu maofisini mwao pamoja na ndugu jamaa na marafiki. Kwa rekodi...
  19. Ngwanakilala

    Nape is Now a Larger Than Life Celebrity Leader

    Waheshimiwa Baada ya kuona hii video ya Bwana Nape Nnauye akishangiliwa na wananchi kama shujaa leo huko uwanja wa Taifa na watu wakigombaniana kumpa mkono kama celebrity wa Hollywood nime conclude kwamba: Until last week Nape Nnauye was a leader BUT now he is Larger Than Life Celebrity...
  20. Ngwanakilala

    Jinsi ya Kuangalia Kama Gari/Wewe Unadaiwa na Traffic Polisi

    Wakuu nimeona watu wengi wanasimamishwa na matraffic na kuambiwa gari yako inadaiwa lipa sasa kama huna hela acha gari katafute hela. Gari haiondoki hapa hadi ulipe. Kuna njia ya kucheki kama gari yako inadaiwa au kama leseni yako inadaiwa ilikuondoa these stupid traffic polisi suprises. Kwa...
Back
Top Bottom