Wadau mko poa?
Kuna jirani yangu kutoka makao makuu ya nchi juzi kamfumania mkewe na mchepuko kachukua kisu kamchoma jamaa aliyekuwa anamfaidi mkewe naye akajichoma kisu, baada ya mkewe kupiga kelele majirani tukaenda kuwasaidia na haraka tukawafikisha hospitali ya kata hapa karibu.
Leo...
yaani nawaza tu laiti kama ningwkuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA ningetangaza kuwapa uraia wanawake na watoto wote wa democratic republic of CONGO
dah wanatia huruma jamaa wanakata mapanga watoto wasio na hatia..so sad!!
Kuna mtu nimemsikia akisema eti "asiye fanya kazi na asile" yeye huwa anapenda sana kuitumia hii sentensi na nimemsikia mara nyingi, yeye anasema eti ni maneno matakatifu kutoka kwenye Biblia.
Sasa wakuu mimi binafsi hii kauli kwangu nashindwa kuielewa vizuri na nimeitafakari sana, sasa naomba...
habari wakuu!!hope ni wazima wa afya njema...
wadau mimi ni mdau wa jogging na mazoezi kwa ujumla nimekuwa nikifanya mazoezi mbalimbali hasa kukimbia sasa juzi hapa nimeangalia hii kili marathon kwa kweli nimehamasika kushiriki sasa naombeni mnijuze ABC za hizi marathon
1.vigezo wanavyohitaji...
Hii tabia ya kuamkiana "shikamoo" wakati ki-umri tuko sawa muache au ndo mnatunyima mbu.n.y.e zenu kisairensa...utakuta lidemu likuuuubwa ile kulisalimia tu "mrembo mambo???" Utasikia "shikamoooo" aaaaagggghhhrrrr yan sipendiii mi ndo kwanza nina 24 afu demu wa miaka 28 aniamkie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.