ila jamaa uwanja wenu ni mgumu sijawahi ona..yaani mpira unadunda hapa unaenda kutua kuleee..pasi ikipigwa inadunda dunda hatari tupu!!
wachezaji wa tz wanacheza mechi ktk mazingira magumu sana dah!!
ukiandika jambo hapa sio private tena!yaani ukishapost tu basi si jambo la kwako peke yako, lishakuwa public..!!sawa slum dweller??
uzuri wetu si wabongo hatupendi uongo uongo..!!
English ya he don't na you doesn't ni english ya wapi??labda ni english ya korogocho huko kwenu..
livin' tandale is better than to live in fucking korogocho area,that korogocho area is a right place for pigs.!no Tanzanian can even walk throughout those streets..
mkuu nchi hii haiendelei si kwa sababu eti ni wavivu,hatuna elimu,n.k kama ambavyo wanatuaminisha!!
tatizo ni kila baada ya miaka mitano kuna watu wanapokezana,mkuu wa nchi anateua genge lake kutafuna keki ya taifa!!
Viongozi ni wezi sana tena bila wasiwasi,wana anzisha miradi uchwara ili...
kwani wewe ukisikia neno "kiwanda",akili yako huwa inawaza nini??
tuanzie hapo kwanza..maana tusiwe tunajadili vitu na mtu mwenye kichwa ambacho ni hollow!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.