Yan hii corona kwa ccm ni own goal zuri tu.. watu hua tunaangalia current situation..sasa hivi hata ukiniambia mambo ya standard gauge sielewi...zaidi zaidi nitakuuliza kwenye corona umefanya nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kuambiwa ongeza na za kwako Nilikua na kibanda kange na kulikuaga na mwanajeshi mmoja hivi alikua anapenda kuja na kushinda sana pale..sasa siku moja ikapotea flash kumuuliza akakataa baada ya kupita siku kadhaa akaileta ebana nilimvutia ndani nikampa za faster..
Ebu fikiria mwanajeshi...
Kwahyo hapo unajiona una bonge la IQ..hadi wote humu unatuona mafala..ni kipi ulichoongea cha maana hapo
Kama sio kuungaunga habar ulizozipata humu humu tu
Jamaa yangu mmoja alikua tapeli sana watu aliwaotapeli walikua wana mtishia kumroga..sasa ..muda wote alikua anashinda amelewa na si kawaida yake..kuumuliza akasema anakunywa ili asirogeke..
Ni kweli yupo poa sana..si mtu wa kufanya featuring anatakiwa asimame mwenye kwenye kipindi kama main presenter na sio kutupwa kwenye so so what sijui..muda ambao watu wengi wanakua wamelala
Nahisi jamaa wanambania sana anavitu vingi sana vya kushow out
Labda kama ana majukumu mengine pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.