Kwa mahitaji yako ya kukuza na kutangaza biashara yako karibu tuzungumze..
LOGO
POSTER
PACKAGE STICKER & LABELS
MOTION GRAPHICS N.K
Sampuli za kazi zangu ziko katika online portfolio hii hapa link
WORK PORTFOLIO
Tupeane updates...
Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee'
=====
Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram yatoweka hewani muda huu.
Mtandao wa Facebook ambao ndio mmiliki wa mitandao hiyo hawajatoa taarifa yoyote kwa wateja wao mpaka sasa.
=====
Baada ya...
Jamaa anapishana na NOAH yake chalinze akiwa kwenye bus na yenyewe ikiwa imebeba Kiroba cha mahindi na watu na aliipeleka kwa fundi ikatengenezwe ilala. Kumpigia fundi kumuuliza mbona gari yake kaiona chalinze fundi akasema "Tunaifanyia testing mkuu" [emoji23][emoji23]
Habari zenu wakubwa wa jukwaa kubwa hili la kijamii tz na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Ninaimani humu ndani kuna kuna watu kutoka pande mbalimbali, basi wale wazee wenye machimbo pendwa ndani ya Mbinga na songea tufahamiane.
Kuna baridi sana huku sijawahi ona.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.