Hakuna sehemu yoyote aliyochanganya R na L.
Acheni ubaguzi wa kijinga. Na wewe ni mjinga, sifuri kabisa.
Mtu anaandika hoja ya msingi, unaleta ukarumekenge hapa.
Wiki iliyopita, muda wa asubuhi, nilikuta ajali, landcruiser ya kiongozi wa jeshi ilikuwa inapita upande ambao sio wake, ikagongana uso kwa uso na DFPA, hizi za wizara. Maana na yeye alikuwa speed ila upande wake.
Sasa sijui hiyo kesi iliishaje..
Kiufupi public leadership imekuwa ya ovyo sana...
Ndg, tpaul na wasomaji wengine.
Mie naujua mgogoro huu wa CWT nje ndani. Kufupisha ni kwamba huu mgogoro hauwezi kuisha kamwe hadi siku Mh. Jenista Mhagama, atakapopoteza uwaziri wake.
Huyu ndiye injinia wa kuanzia uteuzi wa hawa kina maganga kwenda kuwa wakuu wa wilaya.
Katika hili hata mh...
Taarifa;
2005 ilipewa leseni kufanya utafiti wa madini hadi 2010.
Ikaja kuongezewa muda hadi 2012.
Muda ukaisha.
Na hapo sheria tayari ilishapitishwa 2009.
Cha ajabu zaidi mwaka 2013 ikapewa leseni ianze uchimbaji.
Nadhani umeelewa.
Ilipewa leseni ya uchimbaji mwaka 2013.
Kuwa objective, usikae hapa kumtetea mtu.
Soma habari kwa utulivu.
Pia usiwaze kwamba watu wapo hapa kusingizia wengine.
Unapewa evidence unazidi kubadilisha hoja tu.
Aisee.
Hii ndio hifadhi ya wanyama, aliyopewa TFS, kutoka kuwa TANAPA.
Halafu misitu ya TFS inatakiwa kuhifadhiwa na waarabu wa Dubai.
Kazi tunayo watanganyika
Unajua bora kuwa mwizi, unaacha ufanisi kidogo.
Ukiwa FISADI na mzoefu wa "kubwia" mahela ya umma ni shida sana.
Haya sasa Bwawa lina nyufa huko! Kazi tunayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.