Wakuu husikeni na mada tajwa hapo juu. Mimi shida yangu natafuta dereva wa gari, lori anayeenda hayo masafa nina kamzigo kangu.
Charges tutaelewana tukishakutana PM.
Pia kama wamjua mmoja asiyekuwepo humu JF unaweza kunirecommend utakuwa umenisaidia sana.
Natanguliza shukrani.
Uhamiaji wakati wanazindua hati mpya walisema mwisho wa matumizi ya hati za zamani ni 2020 January. Walieleweka vizuri saana. Sasa wasiwasi wangu kuna Watanzania wanaoishi nje ya nchi bado wanatumia hati za zamani na hazijaisha. Unakuta ilibadilisha mwaka jana mwanzoni na inaisha miaka mitano...
Umekimbilia JF kujisifu usikute mkeo naye kakimbilia group la mashoga zake.
Ka-comment.
Mmmh mwenzenu leo tia maji langu sijui limeninyea viagra. Ngoja kesho nione kama ataweza kurudia.
Unaweza kuwa sahihi kwasababu hata mashairi yanabadilika.
Tulikuwa na classical era, romanticism, modernism sasa.
Ila naamini misingi ya music ni ile ile.. ni kama utawala alipita christopher columbus akapita Obama ila misingi ya kiungozi na kumbukumbu za waliofanya vizuri kwa kipindi chao...
Kendrick is not overrated dude. He deserves all hype he's receiving.
I'd even you if you were only comparing him with legends, I mean pac,nas, Jay z.
But, lamar he's the king of this time.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.