Mod na wana JF,
natanguliza kuomba msamaha kwa kuanzaisha thread mpya though related to EPA, nina hamu sana ya kutaka kuwafahamu zaidi ya majina watuhumiwa wa sakata hili!!!!naomba yeyote anaejua chochote juu ya hawa watuhumiwa anisaidie ni weze kuwajua watu hawa in brief
1.Jeetu Patel na...
Ndg Wajumbe!
kabla ya kunyooshea wengine vidole nataka tutafakari kama kweli sisi hatupo kwenye kundi mojawapo la mafisadi! maana kila mmoja sasa anaonekana kuchukizwa na rushwa na mabaya yote yanayo nyima haki na kunyanyasa wanyonge ila cha ajabu ni kuwa rushwa inaendelea kutoka kwa makatibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.