1.Baba akisema saa 1.00 jioni familia nzima inatakiwa iwe nyumbani,wanafamilia wote akiwepo baba wanakuwa nyumbani,sio mama kwa kuwa anajua baba hurudi saa 9 usiku naye anarudi saa saa 7 usiku ,na sio watoto kwa kuwa wanajua baba hurudi saa 9 usiku na mama hurudi saa 7 husiku na wao wakike na...
"Kwa Tanzania hilo ni Tatizo kubwa sana,niongeze mifano michache"
1.Kuna wana Simba ambao walipenda ,Yanga itolewe mapema katika mashindano ya Club bingwa Africa ,kama ambavyo wapo wana Yanga ambao wameshangilia sana UD Songo walivyotuondoa mapema katika mashindano.Hili huwa linanipa shida...
"Kwa Tanzania hilo ni Tatizo kubwa sana,niongeze mifano michache"
1.Kuna wana Simba ambao walipenda ,Yanga itolewe mapema katika mashindano ya Club bingwa Africa ,kama ambavyo wapo wana Yanga ambao wameshangilia sana UD Songo walivyotuondoa mapema katika mashindano.Hili huwa linanipa shida...
1.Hivi ninavyoandika,kuna vihenge vya kisasa vinajengwa (SILOS) za kuhifadhia mazao ya kilimo zaidi ya saba nchini.
2.Hayo ni maandalizi ya kilimo nchini,huwezi kuzalisha usijue unahifadhi wapi!
3.Bajeti ya 2021 katika kilimo itakuwa kubwa sana maandalizi yatakuwa yamekamilika.
4.Ukiwa...
1.Kama nilivyosema awali nakufuatilia sana.
2.Lengo la mhe. Rais ni kushughulika na wanyonge.
3.Wanyonge wa nchi hii in wafanyakazi na wakulima.
4.CCM ni ya wakulima na wafanyakazi.
5.Pamoja na kwamba unatuhudumia wote lakini kwa misingi ya chama inapaswa iwe kwa wakulima na wafanyakazi.
6...
1.P1= P2 (Pascal's Principal ).
Where P1 = Pressure 1
P2 = Pressure 2
2.d1A1= d2A2
Where d1 = Distance kubwa
d2= Distance ndogo
A1 =Cross sectional area ndog
A2=Cross sectinal area kubwa
3.To every action there is an equal and opposite to...
1.Alimpa kazi Bashiru Ali ahakiki Mali za CCM nchi nzima.
2.Akapata ripoti ya madudu ya viongozi wakubwa wachama.
3.Akakaa kimya ,hakuchukua hatua hash ambazo zingeleta mtafaruku ndani na nje ya chama.
4.Akarudisha Mali zote za chama chamani.
5.Kwa maana hiyo mirija ya watu ikawa imekatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.