Habari wakuu,
Nina mpango wa kuchukua chombo na interest ya yangu ni kwa hizo tajwa hapo juu. Forester ya 2007+ , escudo new model 2007+ na hiyo nissan dualis. Naombeni kupata ushauri wenu in terms of uimara, fuel consumption, stability na mengineyo. Zote ni cc2000 though. Natanguliza shulrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.