Habarini wananzengo
Nahitaji kufungua biashara ya kisasa kidogo ya kibanda cha chips
Je ni mambo gani ya kuyazingatia kiserikali(eg TRA, jiji) na kibiashara?
Asanteni.
Habarini wanajamvi,
Mimi ni kijana ambae nimeingia kwenye biashara ya Barbershop (haijakamilisha mwezi lakini inaniumiza kichwa) biashara ipo Mbeya.
Naombeni ushauri jinsi ya kusimamia ili niweze kupata faida kubwa, kuziba mianya ya janja janja, huduma gani za kitofauti za kutoa ili kuvutia...
Habarini Wanajamvi,
Kuna mpangaji wangu ni msumbufu balaa kulipa kodi anasumbua (ana deni la miezi 2) na bill ya maji ndiyo kabisa hajisumbui.
Naombeni msaada jinsi ya kudeal na wapangaji wasumbufu kama hawa maana nataka nishike hata mali yake moja ya gharama asije akahama usiku usiku...
Natumai mko poa pamoja na hizi tozo[emoji1].
Mind-body dualism hii ni dhana kwamba akili(mind) na mwili(body) wa binadamu ni vitu viwili tofauti kila kimoja kinajitegemea kivyake.Dhana hii ilikua maarufu katika karne ya 17 kutokana na mwanamahesabu wa ufaransa aitwaye René Descartes,alikua na...
Habarini.
ngeomba kujua naweza tumia njia zipi kutoa hela kutoka paypal ukiwa Tanzania au ushaur wowote jinsi ya kutoa hela paypal bila ya account ya benki ya nchi husika.
asanteni.
Habarini wanajamvi,
kuna hili tatizo ndugu yangu analo la kujitafuna nyama za pembeni mdomoni tunapewa dawa za kusukutua kwa mdomo na za fangasi zinagoma ningependa kujua nini ni shida na je tutaisolve vipi hii hali?
Ushauri wenu ni muhimu kwetu.
asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
habarini wanajamvi
kama mtu ana maroli ya usafirishaji wa bidhaa i mean transit na akitaka kujisajili iwe kampuni je kuna faida zipi na hasara zipi hasa ukizingatia kwenye taratibu za ulipaji kodi?
asanten nasubiri ushauri na mawazo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
habari
kama kichwa kinavojieleza hapo kuna sehem nilisikia ukichanganya baadhi ya pyafum au body spray zaidi ya moja znatoa harufu nzur halafu unique ningependa kujua mnapendekeza zipi
asanteni
Habarini wanajamvi.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza natafuta nyimbo ya zamani enzi hzo inaitwa kivumbi na jasho naomba antumie au ataje jina la band iliyoiimba.
habarini wanajamvi
na swali moja huwa sielewi hasa kwenye misiba unakuta wadada na wamama wakilia wanaweka neno " eee tata" hivi huwa lina maana gani?
nawasilisha.
habarini wanajamii.
kama kichwa cha habari kinavoonesha ushirikiano na picha ya chini hapo.
wanaume wa dar gari zao zote zina airbags watu wa mikoani tunakufa kininja hatuhitaj kuwa na airbags wala breki kwenye gari zetu
NB:hii ni nchi huru povu ruksa.
Habarini wanajamvi.
leo nimewaletea tv series kali za muda wote na ratings zake.
1. Planet earth II ( 2016) : ratings 9.5
2. Band of brothers (2001) : ratings 9.5
3. Planet earth (2006) : ratings 9.5
4. Game of thrones (2011):ratings 9.4
5. Breaking bad (2008): ratings 9.4
6. The wire...
habarini wakuu
nina laptop aina ya advent nlkua naitumia vzur lakn nkasafiri kama wiki hiv narud nakuta haiwaki ila inaonesha inaingiza chaji.
nahitaji ushaur wenu nfanyaje au tatizo ni nini.
Habarini wanajamii.
Unapokuwa na mamlaka, kila mtu atakusifia hata kwa kila kosa la kijinga unalofanya na hii itaweka mwisho kwa wewe kujiboresha.
Watu wenye mamlaka wanapaswa kukaribisha upinzani ili kujiboresha kwa kukosolewa pale wanapokua wamefanya kinyume na taratibu zilizowekwa kikatiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.