hata mm nilisoma naye ila tatizo utoto unamsumbua ushabiki wa chuo kipindi kile si kuwa kwamba unaweza kaingia huko kawa limbukeni wa posho maana alikuwa hajawahi kupata pesa na kusafiri kaMa hivi sasa. nawaomba wanambozi mwacheni amalize kipindi lkn nanyinyi acheni kuchagua masikini hata banda...
Ndugu wana Jf, naomba niwasilishe hoja hii kwenu, nilfanikiwa kufika katika mradi huo nilichokiona, hata mhesabu trip za mchanga katoka china, wasimamizi wa vibarua ni wachina halafu waliowengi hawana elimu. Je, swali sasa wanaingiaje inchini hawa, kw vigezo gani. maana kazi wanazofanya...
Jamani wana FJ naomba mnisaidie hasa upande wa sheria, mimi nina gari siku moja asubuhi na mapema nilimwomba mdogo wangu aendeshe gari kunipereka stand ya basi nilikuwa nasafiri, aliingia barabara ya 12 ambayo ni 1way nyembamba sana wala haina packing space ila madereva huwa wanapose kidogo...
Sasa hapa nilipo si wangoni ni wadigo wa Tanga, acha bwana akitokea mdigo mmoja kafuta ujinga kidogo basi tabu kwao wadigo wasioenda shule kabisa. Tupo mradi wa ujenzi wa barabara Tanga- Horohoro kuna mdigo mmoja alipewa cheo cha afisa Uajiri na kidato chake cha 4 basi tabu kweli kwa anawalaghai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.