akiongea na kipindi cha XXL, siku ya jumatatu iliyopita ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu toka kifo cha Deo Filikunjombe. Zitto alisema kuwa kwanza hadi sasa haamini kuwa Deo alifariki, na kuwa kwake yeye urafiki wake na Deo ulienda mbali ya urafiki na ukawa kama undugu.
pia...
MTIFUANO KAMPENI ZA CHADEMA TURWA-TARIME
Viongozi walamba pesa za kampeni, waamua kutembea nyumba kwa nyumba
Wapanga kuvunja kanuni na maadili ya uchaguzi kwa kuomba kura siku ya kupiga kura.
Mgombea agoma kutoa pesa za biashara alizokopa VICOBA
Hali ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya...
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tarime Mjini, Hamisi Nyanswi (CHADEMA), usiku wa kuamkia jana majira ya saa 10 usiku alifumaniwa na kupata kipigo kikali, hali yake sio nzuri na amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Tarime.
Taarifa zaidi zinasema kuwa, Hamisi alikuwa amelewa na alimchukua demu wa...
Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.
Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.
Nimeona uzi huku ndani...
Katika uzinduzi wa kampeni za CCM, Jimbo la Kinondoni maeneo ya Biafara, walisimama watu mbalimbali, Bwana Tamim alidai kuwa yeye anatoka Zanzibar na Salum Mwalimu hivyo akadai anamjua kwa undani na anajua sababu za kwa nini hajao hadi sasa, alienda mbali na kusema kuwa mtu asiye na uwezo wa...
Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoketi jana imefikia muafaka wa kubadili gia angani na kushiriki chaguzi ndogo zilizotangazwa na tume ya uchaguzi.
Kuanzia saa 5 asubuhi hii viongozi wa CHADEMA wataongea na waandishi wa habari kuelezea kwa undani sababu za wao kufanya maamuzi hayo.
MWENYEKITI MPYA UVCCM AANZA KWA KUVUNA VIONGOZI WA UPINZANI KAMA KUMBI KUMBI
VIONGOZI WAFUATAO TOKA TARIME, MWANZA, BUNDA, DAR, BUTIAMA WAPOKELEWA NA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA NDUGU KHERI JAMES JANA JIONI KWENYE MKUTANO MAALUM WA KUTAMBULISHWA KWAO AMBAPO ALIKUWA NA MH. HUMPHREY POLEPOLE NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.