WAPINZANI nchi wanatupigania sis si ajili yao. Mandela aliipigania Afrika Kusini leo hayupo wanaonufaika na juhudi zake ni hawa waliopo. Nyerere hivyo hivyo. Wapinzani msikate tamaa HAKI haijawai kutolewa na WATAWALA kama ZAWADI bali upiganiwa. Aluta continua
Hivi kafulila bado tu hajapewa kitanda kweny wodi za vichaa. CAG yupo na anasikia kwanin asikanushe yeye CAG au kafulila kwa CAG. Acha ujinga. Werema hakukosea kukuita TUMBILI. Au ndo unawinda U-DC kupitia mgongo wa Zitto
Huyu ni mchumia tumbo hana tena sumu ya kisiasa. Ni zilipendwa. Anajipendekeza kutetea UKATIBU MKUU hajui kuwa ni nafas ya kupita. Eti mhuumini wa KKKT hana hata unyenyekevu wa kiroho uku akijua wale ni viongoz wenye wito. Akatubu mapema. Na Maaskofu akija kanisan wambie washirika wamtenge maake...
Wee choko unasema rais ana maamuz juu ya jaji mkuu. Wakat anauwezo wa kuteua hawezi mkutengua. Kwahiyo jaji mkuu anayo mamlaka ya kuidhibiti serikali kumuingilia.
Wew mtoa posti nina wasiwasi nawe yawezekana wew ni mpagani sio bure. Kiongiz wa dini anaongoza IMANI YA KIROHO NA KIMWILI. Maisha ya watu ni sehem ya matamanio ya KIMWILI. Viongoz wa dini wanahubili upendo na amani. Aman na upendo duniani kote uondolewa na wanasiasa hasa watawala ambao watu...
Bora ufe tu. Taifa lipunguze wanaotuchelewesha kuifikia nchi ya kanani ya asali na maziwa. Watu hawamchukii kwa ubaya wa sura yake bali kwa matendo yake. Tangu nchi imekuwa HURU hajawai wanajeshi kutumika kuwatisha watu. Kadada ka KIPARE hakana hata kilo 50 uzito kamewashika pabaya mpk wanahaha...
Sasa pascle why cant u file an application letter to ur fellow sukuma man so that u may substitute with msigwa of iringa? Ur real boring so much for the sake of ur personal gain. Unejitaidi kuomba kaz kutipitia uzi wa JF mshikaji kakubania. Tumia formula mbadala
Kwa kweli nimesoma WALAKA mpk nimelia. Watu wa mungu wanaguswa na maisha ya watanzania vile. Kwa niaba ya watawala wenye NYOYO NGUMU, nawaomba maaskofu msamaha na huruma ya mungu wawasamehe. Hawajui walitendao.
Hivi kweli kosa lake liko wap. Hawa polis kutak kik. Utasikia huyo ocd anakuwa RPC. Wanaharakati akina onesmo mpeni kijana wakili akapangue hoja. Hakimu abanwe vzr kama mungu mtu hajazuia maandamano na mikutano. Jaman mkapa alituletea balaa gan hili tanzania yetu
Daaah ASKOFU ametumia maneno ya ki FALSAFA unaitaji kutulia na kutafakali ili upate kumuelewa uzuri. Kumbe MTAWALA kulaumiwa ni haki yake.kwa maana hautawali wanyama bali binadamu wenye uwezo wa kufikili
Hivi Mayalla Unawinda uteuzi au. Hivi lipi ambalo sio kweli kwenye article hiyo? Labda utaaramu na mpangilio wa kizungu. Mda ni tatizo ningeweza kuitafsiri kwa lugha yetu pendwa kiswahili ili watu wang'amue wapi tumetusiwa.
ANGALIA NUKUU "It is a lesson on how weak institutions can be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.